• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wizara ya Kilimo yaanza kukagua korosho

Waziri Hasunga atatembelea mkoa wa Mtwara akiongozana na Naibu wake Innocent Bashungwa na Katibu Mkuu Mhandisi Mathew Mtigumwe watakaotembelea mkoa wa Lindi huku Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Prof. Siza Tumbo akitembelea mkoa wa Ruvuma.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 14, 2018
in KILIMO
0
Wakulima walia tozo kulipwa kwa dola

Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga pamoja na viongozi wakuu wa wizara hiyo wameanza ziara ya katika mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili kuhakiki korosho zilizopo katika maghala makuu, ikiwa ni siku moja tu baada ya Waziri Hasunga kuapishwa kuongoza wizara hiyo, hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.

Katika ziara hiyo, Waziri Hasunga atatembelea mkoa wa Mtwara akiongozana na Naibu wake Innocent Lugha Bashungwa na Katibu Mkuu Mhandisi Mathew Mtigumwe watakaotembelea mkoa wa Lindi huku Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Prof. Siza Tumbo akitembelea mkoa wa Ruvuma.

ADVERTISEMENT

Wakiwa katika ziara hiyo, viongozi hao wanatarajia kuhakiki usimamizi wa maghala ambao kwa sasa upo chini ya Bodi ya usimamizi wa stakabadhi ya ghala. Pamoja na hayo, watahakiki taarifa za uwa maghala kama zilivyopitishwa na bodi hiyo. Vilevile, viongozi hao watahakiki kiasi cha korosho kwa kupitia nyaraka za mapokezi ya zao hilo kwenye ghala ambazo zinawasilishwa na Vyama vya msingi (AMCOS) na baaadae kuoanisha taarifa hizo na taarifa zilizomo katika taarifa za stakabadhi ya ghala (Warehouse Report).

Ziara hiyo inawaleta pamoja viongozi kutoka Wizara ya kilimo, Ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya, Bodi ya Mazao Mchanganyiko, Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TARI)-Naliendele, na Bodi ya usimamizi wa Stakabadhi ya ghala (WRRB).

Tags: AMCOS'Japhet HasungakoroshoWizara ya KilimoWRRB
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mbinu za kuongeza uzalishaji

Wakulima wa mpunga washauriwa kuongeza uzalishaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In