• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa feki waonywa

Serikali itafuatilia wafanyabiashara wanaodaiwa kuingiza bidhaa feki na kuuza kwa gharama ya chini kwani wamekuwa wakisababisha kushusha kwa soko la ndani huku vitendo hivyo vikikatisha tamaa wawekezaji wa ndani pamoja na jitihada za serikali kuhamasisha wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini.

Patricia Richard by Patricia Richard
October 25, 2018
in BIASHARA, Uncategorized
0
Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Share on FacebookShare on Twitter

Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafuatilia wafanyabiashara wanaodaiwa kuingiza bidhaa feki na kuuza kwa gharama ya chini kwani wamekuwa wakisababisha kushusha kwa soko la ndani huku vitendo hivyo vikikatisha tamaa wawekezaji wa ndani pamoja na jitihada za serikali kuhamasisha wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini. Makamu wa Rais ameeleza hayo wakati akizindua kiwanda cha African Dragon kinachotengeneza malighafi ya mabati, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani kilichojengwa kwa thamani ya Sh. 11 bilioni.

Katika maelezo yake, Makamu huyo amesema kuwa sekta ya viwanda ndiyo mpango wa serikali wa kuhakikisha nchi inafikia uchumi wa kati kupitia viwanda. Aidha, Samia amesifia mkoa wa Pwani kwa kusheheni viwanda kitaifa huku akiwataka waendelee kujipanga na kuvutia zaidi wawekezaji katika mkoa huo.

ADVERTISEMENT

“Katika utekelezaji wa uchumi wa viwanda, mtoe ushirikiano kwa wawekezaji ili kuweza kutimiza malengo ya serikali ya kuelekea uchumi wa kati”. Ameshauri kiongozi huyo.

Kwa upande wake, Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema mkoa huo una takribani viwanda 429 vikiwemo vya kati, vikubwa na vidogo ambavyo vimetengeneza ajira za moja kwa moja zaidi ya 20,000 na serikali imeweza kunufaika na ushuru na kodi zinazolipwa na viwanda hivyo.

Tags: BagamoyoSamia Suluhu HassanUchumi wa viwandaviwandawawekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

PAC:Hatujafurahishwa na wafanyabiashara kuhama TPA

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In