• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Flyover Tazara yazinduliwa rasmi

Patricia Richard by Patricia Richard
September 27, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Daraja la juu Tazara.

Daraja la juu Tazara.

Share on FacebookShare on Twitter

Uzinduzi wa daraja la juu (Flyover) Mfugale eneo la Tazara jijini Dar es salaam unafanyika siku ya leo ambapo Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli ataongoza tukio hilo la kihistoria, ikiwa barabara hiyo ni ya kwanza katika historia ya nchi. Viongozi wengine katika uzinduzi huo ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Seleman Kasoso, Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Tizeba na Mwakilishi wa Shirika la JICA Toshio Nagase.

Ujenzi wa Flyover hiyo uliogharimu Dola za Marekani Sh. 45 milioni (takribani bilioni 100 za kitanzania) ulianza mwezi Oktoba 2016, kwa udhamini kamili wa serikali ya Japan na barabara hiyo ilifunguliwa tangu Septemba 15 ili kuruhusu madereva kuifanyia majaribio kuelekea uzinduzi wake rasmi leo. Barabara hiyo inatazamwa kuwa suluhisho mojawapo la kupunguza tatizo la muda mrefu la msongamano na foleni katika eneo hilo na kuongeza muda wa watu kufanya kazi badala ya kupoteza muda mwingi barabarani.

ADVERTISEMENT

Hadi kufikia sasa, mamia ya wananchi tayari wameshawasili eneo la tukio kushuhudia sherehe za uzinduzi huo. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (Tanroads) Patrick Mfugale amesema wakati wa mahojiano maalum na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuwa, barabara hiyo imejengwa ili kupunguza foleni iliyokuwa ikichelewesha harakati mbalimbali za kiuchumi.

“Hii ni Flyover kwa sababu imepita juu ya barabara nyingine na tumeweza kupunguza foleni kwa asilimia 100 kwa wale wanaotoka mjini kwenda uwanja wa ndege na wale wanaoelekea mjini kutoka Gongo la mboto”.Amesema Mfugale ambaye daraja hilo limepewa jina lake.

Tags: barabaraFlyoverJapanJICAJohn MagufuliTanroadsTazara
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Foleni Dar kubaki historia.

Kampuni za bima zatakiwa kuelimisha jamii

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In