• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB kufufua kiwanda cha chai Kilolo

Patricia Richard by Patricia Richard
September 27, 2018
in VIWANDA
0
Kampuni yajikita kuleta mageuzi kilimo cha chai
Share on FacebookShare on Twitter

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Japhet Justine amesema benki hiyo imekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa ambapo wamejadili uwezekano wa kufufua kiwanda cha kuchakata chai ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo. Justine amefafanua kuwa wanalenga kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo ili kuwainua wakulima wadogo na wakubwa kutoka wilayani humo. Justine amesisitiza kuwa ni muhimu sana kufanya hivyo ili wakulima hao waweze kushirikiana na benki hiyo mpaka watakapoweza kusimama wenyewe pasipo msaada wowote.

“Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Suala kama hili linalowanufaisha wakulima wetu, hivyo ni jukumu letu kuhakikisha wakulima wanapata msaada ambao utawawezesha kujiendeleza katika kilimo na kuinua uchumi wa taifa”. Amesema Kaimu huyo.

Vilevile katika maongezi yao, viongozi hao wamejadili kuhusu uanzishwaji wa kiwanda cha kuchakata chai ili kuhakikisha bidhaa ndogo kama majani ya chai yanatengenezwa nchini kwa ubora wa hali ya juu na kutumiwa ndani na nje ya nchi.

ADVERTISEMENT

“Kuwepo kwa kiwanda hicho itakuwa moja ya njia ya kuunga mkono azma ya serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli ya kujenga uchumi wa kati na viwanda ifikapo mwaka 2025 kwa vitendo”. Amesema Justine.

Kwa upande wake, Mkuu wa wilaya ya Kalolo Asia Abdalla ametoa pongezi kwa uongozi wa benki ya TADB kwa jitihada zao za kuisogeza benki hiyo karibu na wakulima.

Tags: ChaiJaphet JustineKiloloTADBuchumiuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Daraja la juu Tazara.

Flyover Tazara yazinduliwa rasmi

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In