• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kuboresha usafiri wa mwendokasi

Changamoto zilizopo hivi sasa katika mradi huo zinatokana na mchezo uliotaka kuchezwa na mwendeshaji

Patricia Richard by Patricia Richard
December 5, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Dar yataka kibali kununua mwendokasi 100
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe amewataka watumiaji wa usafiri ya mabasi yaendayo kasi jijini Dar es salaam kuwa watulivu kwani serikali imejipanga kuleta mambo mazuri. Waziri huyo amesema hayo katika mkutano wa mwaka wa usafirishaji uliowakutanisha wadau wa maendeleo, sekta binafsi pamoja na mabalozi kutoka mataifa mbalimbali. Kufuatia malalamiko ya siku za hivi karibuni kutoka kwa wakazi wanaopitiwa na mradi huo, Waziri Kamwelwe amesema changamoto zilizopo hivi sasa katika mradi huo zinatokana na mchezo uliotaka kuchezwa na mwendeshaji wa mradi lakini serikali tayari imeshagundua hilo.

“Wananchi watulie mambo mazuri yanakuja watayafurahia haya yote ni matokeo ya mwendeshaji kutaka kuleta mchezo mchafu ambao serikali tukasema hapana, maana alipewa muda halafu akataka kuingia moja kwa moja na kisha atutoe kabisa. Nawaahidi kila kitu kitakuwa sawa mambo yanarekebishwa na usafiri utarudi katika hali ya kawaida na tutahakikisha kadri tunavyoendelea haya mabasi yanafika hadi uwanja wa ndege”. Amesema Waziri Kamwelwe.

ADVERTISEMENT

Mradi huo ambao ulionekana kuwa mkombozi wa changamoto ya usafiri jijini Dar es salaam hivi sasa umekuwa ukikumbwa na adha mbalimbali ikiwemo msongamano ndani ya mabasi, hali inayofanya wananchi kukosa uhakika wa asilimia 100 wa usafiri huo.

Tags: Isack KamwelweMwendokasiusafiri
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dola 167 milioni kuwekezwa Pwani

Tanzania kinara wa kuvutia wawekezaji Afrika Mashariki

Discussion about this post

Habari Mpya

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewasihi mashabiki wa Simba wamtie nguvu Mwekezaji Mohammed Dewji (Mo Dewji) kwa...

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In