• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mpango wa ASDP-11 waikosha SIDO

Patricia Richard by Patricia Richard
September 18, 2018
in VIWANDA
0
SIDO yasisitiza utekelezaji wa ODOP

Mkurugenzi Mkuu wa SIDO, Prof. Sylvester Mpanduji.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la kuhudumia viwanda vidogo nchini (SIDO) Prof. Sylvester Mpanduji amesema mbali na kuchochea uzalishaji zaidi wa chakula, Mpango wa Awamu ya Pili ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP 11) pia utasukuma ukuaji katika sekta ya viwanda na kufanikisha azma ya Rais John Magufuli ya kujenga uchumi wa kati na wa viwanda kufikia mwaka 2025.

“Mpango huu ni mzuri na umekuja wakati serikali imejipanga kujenga uchumi wa wakati, jumuishi na viwanda. Mafanikio ya utekelezaji wake yatasaidia sana maendeleo ya viwanda hapa nchini”. Amesema Prof. Mpanduji.

ADVERTISEMENT

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, sekta ya viwanda haiwezi kusonga mbele bila malighafi yanayotokana na uzalishaji kwenye kilimo, mifugo na uvuvi na kusisitiza kuwa, sekta hizo zina mchango mkubwa katika kuleta mageuzi ya viwanda.

“Sisi kama SIDO tunaunga mkono mpango huu wa ASDP 11 kwani viwanda vidogo ni miongoni mwa wadau wakubwa wa mpango huo. Pamoja na kuhamasisha watanzania kushiriki katika ujenzi wa viwanda vidogo bado wana nafasi ya kufanikisha utekelezaji wa mpango huo”. Ameeleza Prof. Mpanduji.

Mkurugenzi huyo amesisitiza maendeleo endelevu ya viwanda yanatokana na uzalishaji mkubwa katika kilimo huku akiongeza kuwa, Tanzania ina fursa nyingi katika uwekezaji wa sekta hiyo na uhamasishaji zaidi unahitajika.

Tags: ASDP 11kilimomaendeleoSidouzalishajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
USDF yawapa tumaini wakulima kahawa

Gaguti apigia debe wakulima wadogo

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In