• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Watanzania watakiwa kununua bidhaa za ndani

Maonesho ya 7 ya viwanda yafunguliwa Dar es Salaam

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
December 6, 2022
in VIWANDA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Maonesho ya saba ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yenye lengo la Kutangaza na kuhamasisha Watanzania kutumia bidhaa za Tanzania yamefunguliwa.

Maonesho hayo yaliyoanza Desemba 3 hadi 9 yanayofanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es salaam yakiwa na kauli mbiu ya ‘nunuachakwetu’.
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Said Shaaban amezindua maonesho hayo na kusema ni nyenzo inayolenga kuwezesha na kuhakikisha Sekta ya Uwekezaji katika Viwanda na Biashara nchini inapata ustawi zaidi kwa kutambulisha bidhaa mpya sokoni ili zifahamike kwa walaji.

ADVERTISEMENT

Amesema hiyo itawawezesha wazalishaji kupata mrejesho mzuri kutoka kwa wateja wao.
‘’ Maonesho haya yanalenga kuwaunganisha wanunuzi na wazalishaji kujenga uzalendo wa kununua bidhaa za Tanzania , kujifunza na kubadilishana uzoefu na teknolojia pamoja na kuongeza ajira zaidi hasa kwa vijana na wanawake’’ amesema Waziri.

Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Latifa Khamis aameeleza kuwa maonesho haya yamelenga kuhamasisha Watanzania kutumia bidhaa na huduma zinazozalishwa nchini.

Nyingine ni kuwaunganisha wenye viwanda na wazalishaji mbalimbali wa malighafi na huduma nyingine zinazohitajika viwandani, wasambazi wa teknolojia ya viwanda kutoka ndani na nje ya nchi, Taasisi za Uwezeshaji Biashara ili kujadili namna ya kutatua changamoto zinazoleta vikwazo vya uzalishaji na biashara, na kuongeza uelewa wa bidhaa za viwandaa zinazozalishwa nchini ili kupata masoko endelevu.
Ameeleza kuwa maonesho hayo yameendelea kupata muitikio mkubwa akibainisha kuwa idadi ya washiriki imendelea kuongezeka kutoka Washiriki 121 kwa mwaka jana hadi kufikia washiriki 502 kwa mwaka huu.

Tags: biasharaTanzaniaUchumi wa viwanda
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Machinga Kariakoo kusajiliwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In