• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, October 2, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

EWURA yatangaza bei mpya za mafuta

Patricia Richard by Patricia Richard
March 23, 2018
in NISHATI
0
Ewura kurekebisha kanuni ujenzi vituo vya mafuta
Share on FacebookShare on Twitter
Na Mwandishi wetu

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo hii imetangaza bei mpya ya bidhaa za mafuta ya petrol pamoja na mafuta ya taa ambapo kwa mujibu wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo Godwin Samwel bei za rejareja za petrol zimeongezeka kwa Sh. 10 kwa lita, ongezeko la asilimia 0.53 huku bei za mafuta ya taa zikipungua kwa Sh. 19 kwa lita moja ambayo ni sawa na asilimia 1.04.

Kaimu Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa ongezeko katika mafuta ya petrol na dizeli limetokana na ongezeko la bei ya bidhaa hizo katika soko la dunia pamoja na gharama za juu za usafirishaji, kitendo ambacho kimeathiri masoko ya ndani moja kwa moja. Ameongeza kuwa punguzo katika mafuta ya taa inatokana na kupungua kwa gharama za usafirishaji japokuwa bidhaa hiyo nayo imepanda bei katika soko la dunia.

ADVERTISEMENT

Samwel ametaka vituo vyote vya mafuta kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana kwa urahisi. Naye Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Dk, Benson Bana ambaye ni mtaalamu katika masuala ya uchumi hapa nchini amesema kupungua kwa bei ya mafuta ya taa ni jambo la faraja kwa watumiaji wa hali ya chini kwani kuanzia sasa watapata unafuu pale watakapohitaji bidhaa hiyo.

Kuhusu ongezeko la bei ya petrol na dizeli, Dk.Bana amesema EWURA hupandisha na kushusha bei kulingana na hali ya soko la dunia akiongeza kuwa ongezeko hilo ni pigo kwa watumiaji lakini ni faida kwa wafanyabiashara huku akidai ongezeko hilo linaweza kupelekea gharama za usafiri kupanda.

Tags: EWURAmafutasoko
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Nishati ya Umeme bado kikwazo kikubwa-TPSF

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In