• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kukatika kwa umeme viwandani kudhibitiwa

Nishati ya umeme ni muhimu kwa ajili ya uzalishaji viwandani hivyo serikali itahakikisha tatizo la umeme kukatika kwenye viwanda linadhibitiwa kwani hali hiyo sio salama viwandani.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 1, 2018
in NISHATI
0
Waziri wa Nishati,Dk Medard Kalemani.

Waziri wa Nishati,Dk Medard Kalemani.

Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani amesema nishati ya umeme ni muhimu kwa ajili ya uzalishaji viwandani hivyo serikali itahakikisha tatizo la umeme kukatika kwenye viwanda linadhibitiwa kwani hali hiyo sio salama viwandani. Dk. Kalemani amesema pamoja na changamoto hiyo, anawataka wawekezaji kuendelea kujenga viwanda kwani kuna umeme wa kutosha, ikiwa hivi sasa kuna akiba ya umeme wa ziada wa megawati 148. Waziri huyo amesema hayo mjini Kibaha alipotembelea maonyesho ya viwanda yanayofanyika kwenye viwanja vya Sabasaba ambapo ametumia fursa hiyo na kulielekeza Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) kutangaza vituo vya gesi asilia ili wananchi wafahamu zaidi kuhusu gesi hiyo.

 “Sera yetu kwa sasa tunataka sisi tutangulie na viwanda ndiyo viufuate na siyo viwanda kuwafuata kwani kufanya hivyo tutakuwa tumewaondolea kero ya kufuatilia masuala ya umeme. Ndio maana tunajenga miradi mikubwa ya uzalishaji umeme kama ule wa Rufiji Hydro Power unaotokana na maji utakaozalisha megawati 2,100 na Rumakali utakaozalisha megawati 358 na ule wa gesi wa Kinyerezi kuhakikisha viwanda havikwami. Nimetembelea na kukagua mabanda na nimeona mahitaji na kati ya mabanda 17 ambayo ni ya viwanda wanasema umeme siyo tatizo licha ya sehemu kama mbili wamelalamika kuwa umeme kwao ni changamoto”. Amesema Dk. Kalemani.

Kwa upande wake, Mkuu wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama amesema wataanisha maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya viwanda ili huduma hiyo ipelekwe kabla ya ujenzi wa viwanda kuanza na kuongeza kuwa, wilaya ya Kibaha ina viwanda vingi hivyo uwepo wa nishati ya umeme wa uhakika ni muhimu ili kuondokana na changamoto zilizopo.

Tags: Dk. Medard KalemaniGesi AsiliaTPDCumemeuzalishajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wazalishaji maziwa soko nje nje

TADB kuhamasisha uzalishaji maziwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In