• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mradi wa Stigler’s Gorge kuimarisha viwanda na utalii

Patricia Richard by Patricia Richard
March 23, 2018
in NISHATI
0
Share on FacebookShare on Twitter

 

Na Mwandishi wetu

Mradi mkubwa wa kufua umeme wa Stigler’s Gorge uliopo Mto Rufiji unatarajia kuanza muda wowote kuanza sasa. Inategemewa kuwa pindi utakapokamilika, utaongeza upatikanaji wa umeme na hivyo kuchangia kwa kiasi kikubwa azma ya kubadilisha nchi yetu na kuifanya kuwa Tanzania ya Viwanda.

Wakati anatembelea mradi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dk. Vedast Makota amesema kuwa mbali na upatikanaji wa umeme, tatizo la maji ambalo limekuwa kilio cha siku nyingi litatatuliwa kwani kupitia mradi huu maji yataongezeka.

ADVERTISEMENT

NEMC pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wametembelea mradi huo ili kuangalia hatua gani zinapaswa kuchukuliwa kimazingira, pia kupata taarifa husika juu ya mradi huo. Yote hawa yakiwa katika kufanikisha nchi yetu kuwa inayotegemea viwanda katika kujiletea maendeleo.

Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa mradi huu unakamilika hivi karibuni. Utekelezaji wa radi huu pia unategemewa kuimarisha sekta ya utalii katika maeneo hayo. Geoffrey Tengeneza, Ofisa Uhusiano Mkuu wa Bodi ya Utalii (TTB) anaongeza kuwa mradi huu kwa upande wa utalii utasaidia kuimarisha usalama wa watalii na mali zao na kutatua kero kubwa ya maji ambayo yamekauka kabisa kwa sasa, hivyo kuongeza thamani na kupanua wigo katika shughuli za kitalii katika eneo hilo.

Kwa niaba ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, muwakilishi wao Gregorian Kalokola amesema kuwa kufuatia mradi huo mkubwa, taifa litanufaika kwa kiasi kikubwa na sekta za viwanda na utalii zitumie nafasi hii kujiletea maendeleo na kuongeza pato la taifa.

Mradi huo wa umeme utachukua asilimia tatu katika mbuga ya Selous na ukifanikiwa, utawezesha nchi kuzalisha megawati 2100 zitakazotumika katika uzalishaji viwandani.

Kwa muda mrefu sasa, eneo hilo ndio sehemu pekee inayofaa katika utalii wa picha na uwepo wa maji ya uhakika utapelekea watalii kuongezeka katika siku za usoni.

Tags: mradiNEMCStigler’s GorgeTANESCOTTBumemeviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Serikali kulipa madeni ya watumishi

Discussion about this post

Habari Mpya

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In