• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mradi wa Stigler’s Gorge kuimarisha viwanda na utalii

Patricia Richard by Patricia Richard
March 23, 2018
in NISHATI
0
Share on FacebookShare on Twitter

 

Na Mwandishi wetu

Mradi mkubwa wa kufua umeme wa Stigler’s Gorge uliopo Mto Rufiji unatarajia kuanza muda wowote kuanza sasa. Inategemewa kuwa pindi utakapokamilika, utaongeza upatikanaji wa umeme na hivyo kuchangia kwa kiasi kikubwa azma ya kubadilisha nchi yetu na kuifanya kuwa Tanzania ya Viwanda.

Wakati anatembelea mradi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dk. Vedast Makota amesema kuwa mbali na upatikanaji wa umeme, tatizo la maji ambalo limekuwa kilio cha siku nyingi litatatuliwa kwani kupitia mradi huu maji yataongezeka.

NEMC pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wametembelea mradi huo ili kuangalia hatua gani zinapaswa kuchukuliwa kimazingira, pia kupata taarifa husika juu ya mradi huo. Yote hawa yakiwa katika kufanikisha nchi yetu kuwa inayotegemea viwanda katika kujiletea maendeleo.

Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa mradi huu unakamilika hivi karibuni. Utekelezaji wa radi huu pia unategemewa kuimarisha sekta ya utalii katika maeneo hayo. Geoffrey Tengeneza, Ofisa Uhusiano Mkuu wa Bodi ya Utalii (TTB) anaongeza kuwa mradi huu kwa upande wa utalii utasaidia kuimarisha usalama wa watalii na mali zao na kutatua kero kubwa ya maji ambayo yamekauka kabisa kwa sasa, hivyo kuongeza thamani na kupanua wigo katika shughuli za kitalii katika eneo hilo.

Kwa niaba ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, muwakilishi wao Gregorian Kalokola amesema kuwa kufuatia mradi huo mkubwa, taifa litanufaika kwa kiasi kikubwa na sekta za viwanda na utalii zitumie nafasi hii kujiletea maendeleo na kuongeza pato la taifa.

ADVERTISEMENT

Mradi huo wa umeme utachukua asilimia tatu katika mbuga ya Selous na ukifanikiwa, utawezesha nchi kuzalisha megawati 2100 zitakazotumika katika uzalishaji viwandani.

Kwa muda mrefu sasa, eneo hilo ndio sehemu pekee inayofaa katika utalii wa picha na uwepo wa maji ya uhakika utapelekea watalii kuongezeka katika siku za usoni.

Tags: mradiNEMCStigler’s GorgeTANESCOTTBumemeviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Serikali kulipa madeni ya watumishi

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In