• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Hatma ya ujenzi kiwanda cha sukari Zanzibar hii hapa

"Serikali hivi sasa inafanya utaratibu wa kuipanda kwa ajili ya kuzalisha mafuta ya mkaratusi”

Patricia Richard by Patricia Richard
November 27, 2018
in VIWANDA
0
Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali.

Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema baada ya serikali kufanya utafiti na kubaini kuwa eneo la Micheweni sio rafiki kwa kilimo cha miwa, serikali imefuta mpango wa kujenga kiwanda cha sukari katika kijiji hicho kufuatia jiografia ya ardhi katika eneo hilo kuwa ya mawe. Waziri huyo ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Migombani na kueleza kuwa, serikali ina mpango wa kujenga kiwanda cha mafuta ya mkaratusi kijijini humo.

“Tumefanya utafiti na kuona kuwa ardhi ya Micheweni inakubali kwa miti ya mikaratusi, hivyo serikali hivi sasa inafanya utaratibu wa kuipanda kwa ajili ya kuzalisha mafuta ya mkaratusi”. Ameeleza Balozi Ali.

ADVERTISEMENT

Waziri huyo amewaambia waandishi wa habari kuwa, Zanzibar imepata soko la mafuta hayo nchini China na hivi sasa, zoezi la kupanda mikaratusi eneo la Micheweni linaendelea. Balozi Ali amebainisha kuwa viwanda vina mchango mkubwa katika kutoa ajira hasa kwa vijana ambao wanakumbana na tatizo la kukosa ajira kwa kiasi kikubwa. Mbali na hayo, Waziri Ali ameweka wazi kuwa, Shirika la Biashara limeanzisha viwanda vidogo vya viungo na kutoa wito kwa vijana kulima mazao hayo kwa wingi kwani kuna soko la uhakika ndani na nje ya nchi.

Tags: ajirabisharaChinakilimosokovijanazanzibar
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mfumo mpya wa visa na vibali vya ukaazi vya kielektroniki kukuza diplomasia ya uchumi

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In