• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TPDC wapongezwa

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
September 22, 2018
in MIUNDOMBINU, NISHATI, VIWANDA
0
Shirika la maendeleo ya petrol nchini TPDC limepongezwa na naibu waziri wa nishati mheshinmiwa Subira Mgalu kwa kufanya kazi kwa wakati baada ya kumaliza utoboaji wa bomba la gesi asilia. TPDC kwa kupitia kampuni tanzu ya Gasco ilipewa kazi ya kutoboa bomba hilo la gesi asilia ii kuweka tolea katika kijiji cha mwanambaya katika wilaya hiyo ya mkuranga. Bomba hilo lilitobolewa maalumu ili kuruhusu usambazaji wa gesi asilia kwa wateja mbalimbali wilayani mkuranga kwa lengo la kuvifikia viwanda na wateja wa kawaida ili kupunguza uharibifu wa mazingira hasa kutokana na kukithiri kwa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa wilayani humo. Naye Mhandisi wa mitambo wa kampuni hiyo ya Gasco alisema utoboaji w a bomba hilo umefanywa kitaalamu na kwa umakini wa hali ya juu ilikuepuka athari mbalimbali hasa zinazotokana na harakati za binadamu na mabadiliko ya hali ya hewa.picha michuzi blog

Mafundi wa kampuni ya Gasco wakimalizia ufungaji wa bomba la gesi asilia baada ya kulitoboa

Share on FacebookShare on Twitter

Shirika la maendeleo ya petrol nchini TPDC limepongezwa na naibu waziri wa nishati mheshimiwa Subira Mgalu kwa kufanya kazi kwa wakati baada ya kumaliza utoboaji wa bomba la gesi asilia mkoani Pwani.

TPDC kwa kupitia kampuni tanzu ya Gasco ilipewa kazi ya kutoboa bomba hilo la gesi asilia ii kuweka tolea katika kijiji cha mwanambaya katika wilaya ya mkuranga mkoani humo.

 

Bomba hilo lilitobolewa maalumu ili kuruhusu usambazaji wa gesi asilia kwa wateja mbalimbali wilayani mkuranga kwa lengo la kuvifikia viwanda na wateja wa kawaida ili kupunguza uharibifu wa mazingira hasa kutokana na kukithiri kwa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa wilayani humo.

ADVERTISEMENT

 

Naye Mhandisi wa mitambo wa kampuni hiyo ya Gasco alisema utoboaji wa bomba hilo umefanywa kitaalamu na umakini wa hali ya juu ili kuepuka athari mbalimbali hasa zinazotokana na harakati za binadamu na mabadiliko ya hali ya hewa.

 

Tags: bombaGASCOgesiMkurangaPwaniTPDC
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Petroli yaadimika Zanzibar

TRA yafunga kituo cha mafuta Arusha

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In