• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TPDC wapongezwa

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
September 22, 2018
in MIUNDOMBINU, NISHATI, VIWANDA
0
Shirika la maendeleo ya petrol nchini TPDC limepongezwa na naibu waziri wa nishati mheshinmiwa Subira Mgalu kwa kufanya kazi kwa wakati baada ya kumaliza utoboaji wa bomba la gesi asilia. TPDC kwa kupitia kampuni tanzu ya Gasco ilipewa kazi ya kutoboa bomba hilo la gesi asilia ii kuweka tolea katika kijiji cha mwanambaya katika wilaya hiyo ya mkuranga. Bomba hilo lilitobolewa maalumu ili kuruhusu usambazaji wa gesi asilia kwa wateja mbalimbali wilayani mkuranga kwa lengo la kuvifikia viwanda na wateja wa kawaida ili kupunguza uharibifu wa mazingira hasa kutokana na kukithiri kwa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa wilayani humo. Naye Mhandisi wa mitambo wa kampuni hiyo ya Gasco alisema utoboaji w a bomba hilo umefanywa kitaalamu na kwa umakini wa hali ya juu ilikuepuka athari mbalimbali hasa zinazotokana na harakati za binadamu na mabadiliko ya hali ya hewa.picha michuzi blog

Mafundi wa kampuni ya Gasco wakimalizia ufungaji wa bomba la gesi asilia baada ya kulitoboa

Share on FacebookShare on Twitter

Shirika la maendeleo ya petrol nchini TPDC limepongezwa na naibu waziri wa nishati mheshimiwa Subira Mgalu kwa kufanya kazi kwa wakati baada ya kumaliza utoboaji wa bomba la gesi asilia mkoani Pwani.

TPDC kwa kupitia kampuni tanzu ya Gasco ilipewa kazi ya kutoboa bomba hilo la gesi asilia ii kuweka tolea katika kijiji cha mwanambaya katika wilaya ya mkuranga mkoani humo.

ADVERTISEMENT

 

Bomba hilo lilitobolewa maalumu ili kuruhusu usambazaji wa gesi asilia kwa wateja mbalimbali wilayani mkuranga kwa lengo la kuvifikia viwanda na wateja wa kawaida ili kupunguza uharibifu wa mazingira hasa kutokana na kukithiri kwa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa wilayani humo.

 

Naye Mhandisi wa mitambo wa kampuni hiyo ya Gasco alisema utoboaji wa bomba hilo umefanywa kitaalamu na umakini wa hali ya juu ili kuepuka athari mbalimbali hasa zinazotokana na harakati za binadamu na mabadiliko ya hali ya hewa.

 

Tags: bombaGASCOgesiMkurangaPwaniTPDC
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Petroli yaadimika Zanzibar

TRA yafunga kituo cha mafuta Arusha

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In