• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vodacom Tanzania yaongeza ushiriki wa Wasichana katika teknolojia kupitia #codelikeagirl

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
January 14, 2019
in WANAWAKE NA MAENDELEO
0
Head of Organizational Effectiveness wa Vodacom Ms Zaituni Ally (katikati ) akimkabidhi cheti muhitimu wa mafunzo ya kuunda tovuti katika programu ya ‘Code Like a Girl’, Ms Fatuma Mniga ambaye ni mwanafunzi wa Shule Sekondari ya Kinondoni Muslim. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Dar Teknohama Business incubator (DTBi), Dr. George Mulamula.

Head of Organizational Effectiveness wa Vodacom Ms Zaituni Ally (katikati ) akimkabidhi cheti muhitimu wa mafunzo ya kuunda tovuti katika programu ya ‘Code Like a Girl’, Ms Fatuma Mniga ambaye ni mwanafunzi wa Shule Sekondari ya Kinondoni Muslim. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Dar Teknohama Business incubator (DTBi), Dr. George Mulamula.

Share on FacebookShare on Twitter

Vodacom Tanzania waongeza ushiriki wa wasichana katika sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STEM), kupitia mafunzo ya teknolojia ya ku-code yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo ambapo awamu ya pili ya mafunzo yalichukua siku tano na kuona wanafunzi 59 wakihitimu mafunzo hayo yaliyofanyika katika taasisi atamizi ya Dar Teknohama Business Incubator (DTBI).

Shirika la Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa linasema, ‘ushiriki wa wanawake katika sayansi na teknolojia ni mdogo ukilinganisha na wanaume. Hivyo Code like a girl ni programu ya kimataifa yenye lengo la kuandaa Wasichana kuwa na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira ya technolojia.

ADVERTISEMENT
Meneja wa Rasilimali na Maendeleo wa Vodacom Tanzania, Bi Immaculate Mwaluko akizungumzia kuhusu umuhimu wa teknologia kwa wasichana, katika programu ya Code like a girl, iliyofanyika Dar Teknohama Business incubator (DTBi) jijini Dar es Salaam. Code like a girl imedhaminiwa na Vodacom Tanzania kwa lengo la kukuza ushiriki wa wasichana katika kada ya sayansi na teknolojia

Kwa kushirikiana na DTBi, mafunzo haya yalijumuisha elimu ya lugha za kompyuta na utengenezaji wa programu kama HTML, CSS, GitHub and Bootstrap. Mafunzo yalitolewa kwa mfumo wa ushirikiano na yalijumuisha mafunzo ya kijamii pamoja na ku-code ili kuwawezesha kutengeneza tovuti zao wenyewe. Washiriki pia walipewa mafunzo ya kuwasilisha mada na mawasiliano.

“Tumefurahishwa na idadi ya wanafunzi waliohudhuria semina hii, wiki ilifana na mafunzo mbali mbali ya maisha, coding, mawasilisho, pamoja na mafunzo ya ujuzi wa mawasiliano. Mwishoni mwa juma, wasichana walikuwa wamiliki wa tovuti ambazo walitengeneza wao binafsi, “alisema Zaituni Ally, Mkuu wa kitengo kinachoangalia ufanisi wa shirika (Head of Organizational Effectiveness) akimuwakilisha Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Vodacom, Bi Vivienne Penessis.”Leo, mabadiliko ya kidijitali yanatokea kila mahali duniani, kwa hiyo, ni muhimu kuandaa wasichana kwa mabadiliko haya katika soko la ajira,” aliongeza.

Mhitimu wa kidato cha nne, Diana Moshy, akiwasilisha tovuti iitwayo “WAW” waliyobuni yeye na kundi lake katika mafunzo ya Code like a girl, yaliyoendeshwa na Dar Teknohama Business incubator (DTBi) jijini Dar es Salaam. Code like a girl imedhaminiwa na Vodacom Tanzania kwa lengo la kukuza ushiriki wa Wasichana katika kada za sayansi na teknolojia.

Akizungumza kwa upande wake, Afisa Mtendaji Mkuu wa DTBi Dr George Mulamula  anasema kuwa “Katika awamu ya kwanza ya mafunzo, tuliona kuwa idadi kubwa ya wanafunzi, hasa wasichana katika shule za sekondari wanafundishwa kwa nadharia badala ya vitendo kuhusiana na teknolojia ya Mawasiliano (ICT). Hivyo basi mkakati huu wa mafunzo haya una lengo la kuwawezesha Wasichana nchini kote kupata elimu ya ICT, lakini pia kuwasaidia kupata fursa mbalimbali katika mazingira ya teknolojia kama vile wenzao wa kiume, “aliongeza.

Lengo la Vodacom ni kutoa fursa kwa wasichana nchini kote kushiriki katika masomo ya STEM; kwani “Coding ndio nati na spana za dijitali siku zijazo. Kupitia mipango kama hii, tunatarajia kuona wasichana wengi katika sekta ya Teknolojia. Pia kuwasaidia vijana kupanua ujuzi wao kupitia teknolojia ili Kuleta maendeleo nchini Tanzania “alielezea Bi Zaituni.

Tags: Dr George MulamulaDTBIImmaculate MwalukoSTEMVivienne PenessisVodacom TanzaniaZaituni Ally
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post
Zanzibar, Brazil kuimarisha ushirikiano

Zanzibar kujenga bandari ya mafuta, gesi asilia

Discussion about this post

Habari Mpya

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewasihi mashabiki wa Simba wamtie nguvu Mwekezaji Mohammed Dewji (Mo Dewji) kwa...

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In