• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mradi wa umeme Rufiji kuanza rasmi Juni

Patricia Richard by Patricia Richard
January 14, 2019
in NISHATI
0
Wachimbaji wachekelea umeme

Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amesema ujenzi wa mradi wa umeme wa Rufiji ambao unatarajia kuzalisha megawati 2,115 utaanza rasmi tarehe 15 mwezi Juni mwaka huu. Waziri Kalemani amesema hayo baada ya kukagua miundombinu wezeshi ya mradi huo yaani umeme, maji, reli na barabara katika eneo utakapotekelezwa mradi huo wilayani Rufiji mkoani Pwani.

Katika ziara hiyo Dk. Kalemani aliyeambatana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constatine Kanyasu, Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa pamoja na makatibu wakuu kutoka wizara mbalimbali amesema mkandarasi amepewa miezi 36 ya ujenzi wa mradi huo na miezi sita ya maandalizi hivyo mradi unatarajiwa kukamilika Aprili mwaka 2022.

ADVERTISEMENT

Akieleza kuhusu ujenzi wa miundombinu wezeshi ya mradi, Waziri huyo amesema kazi hiyo hadi sasa imekamilika kwa zaidi ya asilimia 80.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Constatine Kanyasu amesema wizara yake inaendelea na majukumu mbalimbali yatakayowezesha kuanza kwa mradi huo ikiwemo kusafisha sehemu itakayokuwa ni bwawa la kuhifadhia maji ya kuzalishia umeme.

Tags: Dk. Medard KalemanimiundombinuRufijiujenziumeme
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Head of Organizational Effectiveness wa Vodacom Ms Zaituni Ally (katikati ) akimkabidhi cheti muhitimu wa mafunzo ya kuunda tovuti katika programu ya ‘Code Like a Girl’, Ms Fatuma Mniga ambaye ni mwanafunzi wa Shule Sekondari ya Kinondoni Muslim. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Dar Teknohama Business incubator (DTBi), Dr. George Mulamula.

Vodacom Tanzania yaongeza ushiriki wa Wasichana katika teknolojia kupitia #codelikeagirl

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In