• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mradi wa umeme Rufiji kuanza rasmi Juni

Patricia Richard by Patricia Richard
January 14, 2019
in NISHATI
0
Wachimbaji wachekelea umeme

Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amesema ujenzi wa mradi wa umeme wa Rufiji ambao unatarajia kuzalisha megawati 2,115 utaanza rasmi tarehe 15 mwezi Juni mwaka huu. Waziri Kalemani amesema hayo baada ya kukagua miundombinu wezeshi ya mradi huo yaani umeme, maji, reli na barabara katika eneo utakapotekelezwa mradi huo wilayani Rufiji mkoani Pwani.

Katika ziara hiyo Dk. Kalemani aliyeambatana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constatine Kanyasu, Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa pamoja na makatibu wakuu kutoka wizara mbalimbali amesema mkandarasi amepewa miezi 36 ya ujenzi wa mradi huo na miezi sita ya maandalizi hivyo mradi unatarajiwa kukamilika Aprili mwaka 2022.

ADVERTISEMENT

Akieleza kuhusu ujenzi wa miundombinu wezeshi ya mradi, Waziri huyo amesema kazi hiyo hadi sasa imekamilika kwa zaidi ya asilimia 80.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Constatine Kanyasu amesema wizara yake inaendelea na majukumu mbalimbali yatakayowezesha kuanza kwa mradi huo ikiwemo kusafisha sehemu itakayokuwa ni bwawa la kuhifadhia maji ya kuzalishia umeme.

Tags: Dk. Medard KalemanimiundombinuRufijiujenziumeme
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Head of Organizational Effectiveness wa Vodacom Ms Zaituni Ally (katikati ) akimkabidhi cheti muhitimu wa mafunzo ya kuunda tovuti katika programu ya ‘Code Like a Girl’, Ms Fatuma Mniga ambaye ni mwanafunzi wa Shule Sekondari ya Kinondoni Muslim. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Dar Teknohama Business incubator (DTBi), Dr. George Mulamula.

Vodacom Tanzania yaongeza ushiriki wa Wasichana katika teknolojia kupitia #codelikeagirl

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In