• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Ni aibu kijana kukaa bila kazi : Rais Samia

Fursa za kazi zipo nyingi Tanzania: Rais Samia

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 7, 2022
in AJIRA
0
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Share on FacebookShare on Twitter

Rais Samia Suluhu amesema Tanzania ina fursa nyingi za ajira lakini vijana wengi wanasubiri kuajiriwa wanapomaliza masomo.

Rais Samia amesema hayo Januari 07, 2022 katika maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

“Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,” amesema Rais Samia.

“Tunaelewa kwamba vijana wetu hawa wanakabiliwa pia na tatizo la ukosefu wa ufundi stadi na stadi za kazi, kwamba kijana anamaliza shule yake lakini anakaa na vyeti vyake kusubiri ajira ya serikali. Na hii ni kwa sababu hatujawatayarisha vya kutosha kujua stadi za kazi na kupata ule utaalamu,” ameeleza Rais.

“Lakini nataka niwaambie kwamba ndani ya miezi 9 ya awamu ya sita, takwimu za ajira kwa ujumla wake zinapaa kufika 14,000.

Amebainisha kuwa serikali inajua tatizo la ajira na inajitahidi kutengeza fursa mbalimbali ili vijana wapate ajira.

Kuhusu changamoto ya Mitaji amesema ipo Mifuko inayotoa Mikopo kwa vijana, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi yao kuwa kubwa

ADVERTISEMENT

Amesema vijana ni nguzo muhimu sana katika kuleta maendeleo ya taifa lolote duniani.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, katika kila idadi ya watu 10 Tanzania kati yao wanne ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35 hivyo inafanya Tanzania kukadiriwa kuwa na vijana milioni 21.

Soma zaidi:

Wahitimu vyuo vikuu wanavyoomba kazi za elimu ya sekondari

Mitandao ya kijamii na fursa kiuchumi

Vikundi vya wajasiriamali vyakabidhiwa hundi ya bilioni 2

Kuna uwezekano nusu ya ajira kutoweka 2050

 

Tags: ajirabiasharafursaTanzaniavijana
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Acheni wizi sehemu za kazi : Rais Samia

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In