• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, August 17, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Nyongeza ya 8,000 ni dhihaka kwa mfanyakazi: Tucta

Tucta yalia na nyongeza ya mishahara

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
July 28, 2022
in AJIRA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Raisi wa Shirikisho la Vyama vya wafanyakazi TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema wamewasilisha malalamiko yao kwa Serikali kwani Kiwango cha nyongeza ya mshahara iliyoongezwa katika mwezi Julai ni kinyume na ahadi iliyotolewa na Rais Samia siku ya Mei Mosi mwaka huu kwani baadhi ya watumishi wamepata nyongeza ya shilingi Elfu Nane na kuendelea.

“Hoja kubwa iliyotuleta ni hiyo, tumeleta kilio cha wafanyakazi kwa serikali ambayo ndiyo imeongeza hiyo mishahara na bahati nzuri wamepokea na wanafanyia kazi, tulitegemea nyongeza itawagusa watumishi wenye vima vyote vya mishahara kwa kiwango kilichozoeleka”

Kwa bahati mbaya kiwango kimekuwa cha chini ambacho kimewaumiza sana wafanyakazi wa nchi hii, kima cha chini cha laki tatu ndo hao wameongezewa 23.3% ambayo inatupeleka kwenye kama Sh 70,000.

Asilimia kubwa ya wenye kima cha juu cha mishahara walichokutana nacho ni Sh 12,000 na wengine wanasema wamekutana na Sh 8,000, kumuongeza mtu Sh 8,000 ambae ana miaka zaidi ya sita saba hajaongezwa mshahara ni jambo ambalo si jema, ni dhihaka kwa mfanyakazi.”

Ameeleza kuwa katika nyongeza hiyo kuna baadhi ya kada hazikuguswa kabisa.

ADVERTISEMENT

Ameeleza kuwa kuna tofauti kubwa ya nyongeza ambapo wale watumishi wa kima cha chini wamepata nyongeza ya asilimia 23.3 na wale wa kima cha juu ana asilimia 0.6.

“Hii ni tofauti kubwa ambayo haijawahi kutokea, tukumbuke kuwa Rais alilenga kuongeza mishahara, na hakuwa amelenga kuwatoa watu wa daraja Fulani kuwapeleka mahali pengine, kwa iyo kama ni nyongeza ya mshahara inagusa kula ngazi ya mshahara wa mtumishi wa umma,” ameeleza.

Amesema “hata kiwango hichi cha 70,000 ukikitizama pamoja na kwamba tunashukuru angalau kima cha chini kimetizamwa, bado si kiwango halisia kinachomtoa mtumishi kwenye adha za maisha na kulinganisha na maisha aghali yaliyopo sasa.”

Kwa sasa, Serikali imeanza Mazungumzo na Viongozi wa shirikisho la vyama vya Wafanyakazi Nchini Pamoja na Viongozi wa vyama vinavyounda Shirikisho hilo Jijini Dodoma Kwaajili ya kujadili Juu ya sintofahamu iliyojitokeza katika ahadi ya nyongeza ya mshaara ya asilimia 23.3 kwa wafanyakazi iliyoanza kutekelezwa mwezi Julai.

Tags: Mishahararais samiaTanzaniaummaWafanyakaziwatumishi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Serikali ya Tanzania yazuia uingizaji wa vifaranga

Discussion about this post

Habari Mpya

Filamu ya the hidden Tanzania inakuja: Rais Samia

August 15, 2022
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu. Picha|Mtandao.

Wawekezaji wadau wakubwa ustawi wa uchumi: NHC

August 13, 2022

Bilioni 3 kujenga kiwanda cha parachichi Iringa

August 12, 2022
Picha| Mtandao

Serikali yataka ubunifu wa Watanzania ulindwe

August 12, 2022

Pato la utalii kupaa

August 5, 2022

Wakulima tumieni mitandao kujikwamua kiuchumi: TCRA

August 2, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Filamu ya the hidden Tanzania inakuja: Rais Samia

by Pesatu Reporter
August 15, 2022
0

Rais wa Tanzania Samia Suhulu Hassan amesema awamu ya pili ya filamu ya kuonesha utalii wa Tanzania inakuja. Rais Samia...

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu. Picha|Mtandao.

Wawekezaji wadau wakubwa ustawi wa uchumi: NHC

by Pesatu Reporter
August 13, 2022
0

Wawekezaji wametajwa kuwa moja ya wadau muhimu kwa ustawi bora wa uchumi wa Tanzania na kufungua fursa za ajira kwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In