• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB, TPB, NMB kuinua wakulima wadogo

Patricia Richard by Patricia Richard
January 17, 2019
in BENKI
0
Benki kusaidia wakulima wadogo.

Maafisa kutoka TADB na TPB wakionesha nyaraka kuhusu Mfuko wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo nchini (SCGS) . SCGS inalenga kuwawezesha wakulima kukopa katika taasisi za fedha za ikiwemo benki za biashara pamoja na kuziwezesha taasisi hizo kuwa na uwezo wa kuwakopesha wakulima nchini.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imeingia makubaliano na NMB pamoja na Benki ya Posta (TPB), makubaliano ambayo yanalenga kuwasaidia wakulima wadogo kupitia Mfuko wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo ulio chini ya TADB. Makubaliano hayo yanadhamiria kumuwezesha mkulima mdogo kumudu kufanya kilimo chenye tija, kuondokana na umaskini na kufanikisha lengo la serikali la kufikia uchumi wa kati mwaka 2025.

Akizungumza baada ya kikao cha pamoja, Meneja wa Mfuko huo James Mwakilima amesema serikali tayari imeshatoa Sh. 45 bilioni ili mfuko huo uweze kutoa mikopo kwa wakulima wadogo kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini.

“Katika kutimiza azma yake ya kujenga uchumi wa kati na viwanda, serikali imeshatoa Sh. 45 bilioni kwa TADB kupitia Mfuko wake wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo, ili wakulima waweze kujikita kwenye kilimo chenye tija”. Ameeleza Mwakilima.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Mikopo wa TPB, Ramadhan Mganga amesema benki hiyo imefanikiwa kukopesha wakulima wadogo kupitia Mfuko huo huku akitaja baadhi ya mikoa iliyonufaika kuwa ni Simiyu, Singida na Iringa.

“Kupitia Mfuko huu wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo, Benki ya Posta imewakopesha wakulima zaidi ya Sh. 3.5 bilioni kwa kipindi cha miezi sita tu tangu tusaini makubaliano”. Amesema Kaimu huyo.

Tags: kilimomikopoNMBTADBTPBUchumi wa kati
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Usafiri huu unawaangalia watu wa chini?

Air Tanzania kufika Zambia, Zimbabwe

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In