• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB, TPB, NMB kuinua wakulima wadogo

Patricia Richard by Patricia Richard
January 17, 2019
in BENKI
0
Benki kusaidia wakulima wadogo.

Maafisa kutoka TADB na TPB wakionesha nyaraka kuhusu Mfuko wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo nchini (SCGS) . SCGS inalenga kuwawezesha wakulima kukopa katika taasisi za fedha za ikiwemo benki za biashara pamoja na kuziwezesha taasisi hizo kuwa na uwezo wa kuwakopesha wakulima nchini.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imeingia makubaliano na NMB pamoja na Benki ya Posta (TPB), makubaliano ambayo yanalenga kuwasaidia wakulima wadogo kupitia Mfuko wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo ulio chini ya TADB. Makubaliano hayo yanadhamiria kumuwezesha mkulima mdogo kumudu kufanya kilimo chenye tija, kuondokana na umaskini na kufanikisha lengo la serikali la kufikia uchumi wa kati mwaka 2025.

Akizungumza baada ya kikao cha pamoja, Meneja wa Mfuko huo James Mwakilima amesema serikali tayari imeshatoa Sh. 45 bilioni ili mfuko huo uweze kutoa mikopo kwa wakulima wadogo kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini.

“Katika kutimiza azma yake ya kujenga uchumi wa kati na viwanda, serikali imeshatoa Sh. 45 bilioni kwa TADB kupitia Mfuko wake wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo, ili wakulima waweze kujikita kwenye kilimo chenye tija”. Ameeleza Mwakilima.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Mikopo wa TPB, Ramadhan Mganga amesema benki hiyo imefanikiwa kukopesha wakulima wadogo kupitia Mfuko huo huku akitaja baadhi ya mikoa iliyonufaika kuwa ni Simiyu, Singida na Iringa.

“Kupitia Mfuko huu wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo, Benki ya Posta imewakopesha wakulima zaidi ya Sh. 3.5 bilioni kwa kipindi cha miezi sita tu tangu tusaini makubaliano”. Amesema Kaimu huyo.

Tags: kilimomikopoNMBTADBTPBUchumi wa kati
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Usafiri huu unawaangalia watu wa chini?

Air Tanzania kufika Zambia, Zimbabwe

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In