• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Biashara ya asali: Fursa isiyokimbiliwa na wengi

Patricia Richard by Patricia Richard
September 7, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mpaka sasa Tanzania na Ethiopia ndio nchi pekee zinazoongoza kwa uzalishaji wa asali duniani huku uhitaji ukiwa mkubwa zaidi ukilinganisha na uzalishaji wake. Novemba 2016 maonyesho ya asali yalifanyika hapa nchini yakihusisha wajasiriamali wanaojishughulisha na ufugaji wa nyuki na wazalishaji wa asali, wadau mbalimbali pamoja na wataalamu wa masuala ya ufugaji nyuki fursa iliyowapa wajasiriamali hao kufahamu uhitaji wa soko na mbinu bora za kupata soko.

Akizungumza katika maonyesho hayo, Katibu wa baraza la  asali Tanzania Dk. Kansatan Kabialo alisema jumla ya tani 9,380 za asali zimekuwa zikizalishwa kila mwaka sawa na asilimia 7 tu ya uzalishaji nchini huku nta zikifikia tani 625.3 zilizoingiza kiasi cha Sh. 14 bilioni.

“Kwa kweli tunazalisha kiasi kidogo sana ndio maana tumeandaa maonyesho haya ili tukutane na wadau mbalimbali wa asali na kuhamasisha wafugaji wafuge zaidi”. Alisema Katibu huyo.

Kwa mujibu wa Dk. Kabialo biashara hii imeweza kuajiri watu takribani milioni mbili na kuendelea nchini kote huku idadi hiyo ikihusisha warinaji, wafunga vifungashio, wafugaji, na watengeneza mizinga. Asali ni moja ya bidhaa zinazompa muuzaji faida kubwa endapo tu ataamua kuwekeza kuanzia ufugaji hadi urinaji. Kwa wastani lita moja ya asali huuzwa shilingi 10,000 huku mikoa ya Tabora, Kigoma, Dodoma, na Singida ikifuatiwa na Tanga, Katavi, Iringa, Kilimanjaro na Arusha ikiongoza kwa uzalishaji nchini.

Akizungumza kwenye maonyesho hayo, Dk. Kabialo alisisitiza kuwa asali haiharibiki kwa muda mrefu kama yalivyo mazao mengine ya chakula, kwani ina uwezo wa kukaa zaidi ya miaka 30 na kudai kuwa, hubadilika rangi na kuwa nyeusi, na ndio sababu kuu ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kutowalazimisha wajasiriamali wa asali kuweka tarehe ya mwisho ya matumizi.

ADVERTISEMENT

Zipo aina kuu mbili za asali:

  • Asali inayozalishwa na nyuki wadogo (Wasiouma) ambayo inasemekana ni nzuri zaidi kwa sababu nyuki wadogo wanao uwezo wa kuingia kwenye maua madogo ukilinganisha na wakubwa
  • Asali inayozalishwa na nyuki wakubwa (Wanaouma)

Serikali inafanya jitihada gani kuendeleza ufugaji wa nyuki?

  1. Serikali imekuwa ikiandaa maonyesho mbalimbali ya kibiashara na kilimo kama sabasaba na nanenane ambapo wafugaji na wauzaji wameweza kupata fursa za kutangaza bidhaa zao na kupata soko.
  2. Kuanzisha chuo cha ufugaji nyuki (Beekeeping Training Institute) BTI kilichopo manispaa ya Tabora ili kuongeza wataalamu watakaosaidia kutoa mafunzo ya ufugaji nyuki, kuhamasisha na kuelimisha jamii.
  3. Kuwapatia wawekezaji fursa ya kuwekeza katika uzalishaji wa asali ili kuwasaidia wazalishaji wa ndani kupata soko la bidhaa itokanayo na nyuki.

 

Agosti 2017 kampuni ya kijerumani ya QP Tanzania Ltd iliamua kuwekeza katika sekta ya ufugaji nyuki ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa soko la asali nchini ikiwa ni kutambua jitihada zinazochukuliwa na serikali katika kuboresha na kuwahakikishia wananchi upatikanaji wa soko hilo.

Tags: asaliBTIsokoTFDAufugajiuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

SGR kupita kwenye mahandaki

Discussion about this post

Habari Mpya

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewasihi mashabiki wa Simba wamtie nguvu Mwekezaji Mohammed Dewji (Mo Dewji) kwa...

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In