• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB yafufua viwanda Kagera

Patricia Richard by Patricia Richard
September 7, 2018
in BENKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa wilaya ya Karagwe Godfrey Mheruka amesema mkopo uliotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa lengo la kuinua sekta ya kilimo kupitia zao la kahawa mkoani Kagera, umechangia kufufua viwanda na kutengeneza ajira za wanawake wilayani humo. Mheruka ameongeza kuwa wilaya ya Karagwe ina jumla ya viwanda vitano vya kukoboa kahawa ambapo kwa sasa, kila kiwanda kina wanawake zaidi ya 400.

“Tangu mkopo utolewe na benki ya kilimo, kasi ya ukusanyaji wa kahawa katika msimu wa mwaka 2018/2019 umeweza kuleta manufaa makubwa kwa wananchi wilaya hapa. Zaidi ya wanawake 2,000 wamepata ajira za kufanya kazi za upembuaji kahawa ili kuongeza thamani katika soko la kimataifa”. Ameeleza Mheruka.

Katika maelezo yake, Mheruka amesema tangu TADB itoe mkopo kuinua zao la kahawa mkoani Kagera, kasi ya ukusanyaji imeongezeka huku mzunguko wa fedha kwa wakulima nao ukiwa wa kuridhisha. Mheruka amedai mfumo mpya wa serikali na benki hiyo umeleta mafanikio makubwa kwa upande wa uzalishaji na kuinua maisha ya wakulima kwa ujumla.

ADVERTISEMENT

“Baada ya kahawa kukobolewa kiwandani, wanawake ndio wanaochambua punje bora na zile ambazo si nzuri, kila kiwanda kina wanawake wasio chini ya 400, hii ndiyo dhana ya Rais John Magufuli anayotaka Tanzania ya viwanda itakayozalisha ajira kwa watanzania”. Amesisitiza Mkuu huyo wa wilaya.

Kwa upande wao, baadhi ya wamiliki wa viwanda vya kukoboa kahawa wamekiri ongezeko la makusanyo ya kahawa wakisema mkopo uliotolewa na TADB umesaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza uzalishaji.

Tags: ajiraKagerakahawamkopoTADBuzalishajiwanawake
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Biashara ya asali: Fursa isiyokimbiliwa na wengi

Discussion about this post

Habari Mpya

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

February 8, 2023

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

by Pesatu Reporter
February 8, 2023
0

Sio lazima uingie darasani na upate elimu katika mfumo rasmi ndipo uweze kufanikiwa katika maisha. Ndivyo wanavyoweza kusema kikundi cha...

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In