• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TRA kutoza faini kwa wasiodai risiti

Patricia Richard by Patricia Richard
October 16, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Kagera Adam Ntoga ametangaza kuwa mamlaka hiyo itaanza kuwachukulia hatua wananchi ambao hawatakuwa na risiti baada ya kufanya manunuzi, lengo likiwa ni kuwakumbusha kudai risiti kila wanaponunua mahitaji yao. Ntoga amesema kuwa hatua hiyo itenda sambamba na ile ya kuwafuatilia na kuwakamata kwa mujibu wa sheria wafanyabishara wasiotoa risiti kwa wateja pamoja na wale wanaotoa risiti inayoonyesha kiasi cha fedha kisichoendana na thamani halisi ya bidhaa.

“Wananchi kwa ujumla hawana utamaduni wa kudai risiti wanaponunua bidhaa, tunajitahidi kuwaelimisha mara kwa mara, lakini hili bado ni tatizo, ndiyo maana tumekuja na mkakati wa kumuadhibu mwananchi ili aone umuhimu wa kudai risiti kila anaponunua bidhaa”. Ameeleza Meneja huyo.

ADVERTISEMENT

Ntoga amesema japokuwa bado kuna wafanyabishara wasio waaminifu ambao bado wanaendelea kufanya biashara ya magendo, mamlaka hiyo inaendelea kufanya kila jitihada ili kuhakikisha biashara hiyo inafikia kikomo. Aidha, licha ya changamoto zinazojitokeza, makusanyo ya mapato yameongezeka na kufikia Sh.12.5 bilioni katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Septemba mwaka huu.

“Lengo la makusanyo ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2018/2019 inayoanzia Julai hadi Septemba lilikuwa ni zaidi ya Sh. 12.1 bilioni, lakini tumekusanya zaidi ya Sh. 12.5 bilioni kwa hiyo tumevuka lengo”. Amesema Ntoga.

Tags: biasharafedhaKageramapatoRisitiTRA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Kilimo Dk. Charles Tizeba.

Dk. Tizeba: Tanzania yajitosheleza kwa chakula miaka mitano mfululizo

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In