• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, June 27, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dodoma yafungua fursa za uwekezaji

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in UWEKEZAJI
0
Miundombinu Dodoma yapongezwa
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali ya Tanzania imekuwa na mpango wa kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma kwa takribani miaka 40 sasa. Hata hivyo, serikali ya awamu ya tano imeonyesha dhamira ya dhati ya kutekeleza mpango huo ambapo hadi sasa, asilimia 70 ya ofisi za serikali tayari zimekisha fanya hivyo. Ni wazi kuwa mabadiliko haya yatagharimu fedha nyingi mpaka kukamilika kwake lakini pia yatakuwa na faida nyingi hususani kwa wakazi wa jiji la Dodoma. Hizi hapa ni baadhi ya faida za serikali kuhamia Dodoma na kutangaza rasmi kuwa mji huo sasa utakuwa jiji.

Msongamano utapungua kwa kiasi kikubwa jijini Dar es salaam. Kutokana na jiji hili kuwa makao makuu ya serikali kwa kipindi kirefu sana, watu kutoka mikoa mbalimbali wamekuwa wakisafiri kufuata huduma za kiserikali, jambo ambalo limekuwa likisababisha msongamano wa watu katika maeneo mengi huku kukiwa na changamoto kubwa ya foleni. Huduma hizi zikisogezwa karibu zaidi, msongamano utapungua jijini Dar es salaam kwa kiasi kikubwa hivyo watu watapata muda mwingi zaidi kufanya shughuli za kimaendeleo.

ADVERTISEMENT

Miundombinu itaboreshwa kwa kiasi kikubwa Dodoma. Serikali imejipanga kujenga reli ya kisasa itakayotoa huduma ya usafiri wa mwendo kasi kutoka Dar es salaam hadi Dodoma, kujenga uwanja wa ndege na vilevile kuboresha barabara ili kurahisisha usafiri. Hii yote itakuwa neema kubwa kwa wakazi wa Dodoma na maeneo jirani kwani shughuli zao za kibiashara zitafanyika kirahisi zaidi.

Mbali na hayo, kitendo cha serikali kuhamia Dodoma kutaongeza mzunguko wa fedha katika mji huo kwa kiasi kikubwa hivyo kutakuwa na fursa zaidi za ajira pamoja na uwekezaji. Vijana wengi zaidi watapata nafasi ya kujiendeleza kiuchumi kwani safari ya serikali Dodoma italeta fursa mbalimbali kwao hivyo kuwatoa katika hatua waliopo sasa na kwenda katika bora zaidi kimaisha.

Mabadiliko haya yanakuja na fursa mbalimbali ambazo zitawainua wananchi kiuchumi hivyo ni wakati muafaka wa wananchi kutumia hii nafasi kwa ajili ya kujiendeleza kiuchumi. Hivyo uamuzi wa serikali kuhamia Dodoma unabeba faida nyingi kwa wakazi wa jiji hilo kimaendeleo. Ni muda mzuri kwa wawekezaji kuwekeza zaidi Dodoma, wafanyabiashara kuboresha biashara pamoja na huduma zao na vilevile wajasiriamali kujitangaza zaidi ili wajulikane na taasisi mbalimbali za kiserikali.

 

Tags: ajiraDodomafedhamiundombinuserikaliuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Tizeba awafutia wakulima deni la bilioni 30

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In