• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dubai Expo kuzalisha ajira 200,000

Rais Samia awaombea ufadhili wanafunzi wa Tz

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 28, 2022
in UWEKEZAJI
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Mtandao

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Mtandao

Share on FacebookShare on Twitter

Tanzania imetia saini hati za makubaliano (MoU) 36 katika mkutano wa biashara na uwekezaji uliofanyika Dubai, Februari 26, 2022.

Hati hizo zinahusisha wizara mbalimbali, taasisi za umma, wawekezaji, sekta binafsi na makampuni mengine.

Kati ya hati hizo 36, hati 12 ni baina ya serikali ya Tanzania kupitia Wizara na taasisi za umma na wawekezaji mbalimbali.

Hati 23 zimetiwa saini baina ya makampuni binafsi kutoka Tanzania na makampuni mengine yenye nia ya kushirikiana katika sekta mbalimbali za kiuchumi huku hati moja itahusisha Wizara ya Viwanda ya Zanzibar na wawekezaji wanaonuia kushirikiana kwenye sekta ya utalii.

Taarifa kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu inasema kuwa makubaliano hayo pia yatatengeneza takribani ajira 200,000.

“Idadi ya ajira zinazotarajiwa kupatikana kwa ujumla kutokana na makubaliano hayo ni zaidi ya 200,000 katika kipindi cha miaka minne, huku uwekezaji huo ukigharimu zaidi ya dola bilioni 7.49 ambayo ni sawa na shilingi trilioni 17.35 za Kitanzania,” imeandika taarifa hiyo iliyosainiwa na Mkurugunzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus.

Taarifa hiyo imezitaja sekta zinazotarajiwa kunufaika na makubaliano hayo kuwa ni nishati, kilimo, utalii, miuondombinu, usafiri, teknolojia na nyinginezo.

Akiongea katika mkutano huo wa Biashara na Uwekezaji, Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kushawishi uwekezaji na kutengeneza bidhaa madhubuti na za kisasa nchi inahitaji elimu bora.

“Leo naisihi hasa serikali ya UAE nan chi nyingine zinazoshiriki kwenye Expo 2020 Dubai kutoa fursa kwa wanafunzi wa Tanzania kusoma kupitia ufadhili na mpango wa ubadilishanaji wa wanafunzi,” amesema Rais Samia.

ADVERTISEMENT

Rais amesema “tuna faraja leo tumesaini mikataba ya makubaliano 36, kati ya wafanyabiashara, serikali na wadua wengine. Tunatumaini kwamba kusainiwa kwa mikataba hii hakutaishia tuu kwenye hafla ya kusaini bali itaenda kutekelezwa kwa vitendo.”

Ameeleza kuwa kwa mara ya kwanza katika historia Tanzania imeweka banda lake katika maonesho ya Dubai Expo hali iliyosaidia kuwepo kwa mikutano mingi iliyokuanisha afanyabiashara wenye lengo la kuwekeza nchini.

 

 

 

 

Tags: biasharaDubaielimufedhaTanzaniauchumiuwekezaji
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Parachichi za Kenya kuuzwa China

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In