• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Ngorongoro live Dubai

Utalii wa Tanzania mubashara maonyesho Dubai

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 25, 2022
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaonekana mubashara (live) kwenye maonesho ya utalii ya Exp2020 Dubai.

Waziri wa Maliasili na Utallii, Dkt. Damas Ndumbaro amepongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa namna inavyotangaza vivutio vya Utalii kwa njia kidigitali kupitia Ngorongoro Live  Streaming  (Matangazo mubashara kutoka Ngorongoro).

ADVERTISEMENT

Amesema hali hiyo ya Ngorongoro Streaming Live kwenye maonesho hayo inakomesha upotoshaji uliokuwa ukifanywa na baadhi ya watu wa nchi jirani juu ya vivutio vizuri vya Utalii vilivyopo Tanzania na kusema kuwa vipo nchini mwao.

“Tayari kama nchi tumekuja na njia ya kutangaza vivutio vya utalii kwa njia ya Kiditaji kupitia NgoroNgoro Live  Streaming na imeanza kuonesha matunda ya wazi katika maonesho haya,” Amesema Waziri Dkt. Ndumbaro.

“Tumekuwa tukirusha matukio mbashara kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, hii imelifanya banda la Tanzania kuwavutia maelfu ya watu kuja kujionea maajabu yaliyopo Tanzania”.

Tunachotaka kwa sasa ni kuhakikisha kuwa Tanzania inashiriki kikamailifu katika maonesho makubwa ya kibiashara huku msisitizo mkubwa kama nchi ni kunadi utajiri wa vivutio vya utalii tulivyonavyo ili kuuondoa ule upotoshwaji wa majirani zetu” amesema Dkt.Ndumbaro.

Dkt. Ndumbaro ametoa wito kwa Watanzania popote walipo kutumia fursa ya kunadi vivutio vya utalii walivyonavyo kwani kufanya hivyo ni ishara ya uzalendo kwa nchi yao.

Katika maonesho hayo, kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania ambapo Rais Samia Suluhu atakuwa mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.

Miongoni mwa taasisi za Tanzania za Wizara ya Maliasili na Utalii  zinazoshiriki maonesho hayo ni pamoja na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyanapori Tanzania (TAWA), Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Wakala wa Huduma za Misitu Tazania (TFS).

Maonesho hayo ya kimataifa yaliyoanza  Oktoba Mosi mwaka 2021 yanaendelea hadi Machi 31 mwaka huu na yanashirikisha zaidi ya nchi 192.

Tags: biasharaDubaiNgorongoro craterTanzaniautaliiuwekezaji
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Mtandao

Dubai Expo kuzalisha ajira 200,000

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In