• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Fursa 5 za kiuchumi Dodoma

Patricia Richard by Patricia Richard
August 20, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Dodoma ni moja kati ya miji inayokuwa kwa kasi ukilinganisha na miji mingine Tanzania. Hatua hii inatokana na serikali kuweka nguvu zaidi katika jiji hilo baada ya kuhamishia rasmi makao makuu ya nchi pamoja na tamko lililotolewa na Rais John Magufuli  Aprili 26 mwaka huu kuupandisha hadhi mji huo kuwa jiji. Dodoma ni moja kati ya miji inayopatikana katikati ya nchi ya Tanzania ikiwa imezungukwa na vitu vingi na vya kipekee vinavyofanya watu wengi kuwekeza fursa mbalimbali za kiuchumi.

Soma Pia Ujenzi kuajiri 500 Dodoma

Ripoti iliyotolewa tarehe 24 Juni 2018 na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma imeonyesha jiji hilo likiongoza kwa ukusanyaji mapato ikifuatiwa na Dar es salaam.

Watu wengi watajiuliza maswali mengi hasa kuhusiana na fursa za kiuchumi zinazopatikana Jijini hapo kiasi cha kuzidi kufanya vizuri katika ukusanyaji mapato ukilinganisha na mikoa pamoja na majiji mengine.

ADVERTISEMENT

Zipo fursa mbalimbali zinazoifanya Dodoma kuzidi kufanya vizuri kiuchumi licha ya kuwa haina viwanda vingi kama Dar es salaam, lakini pia haina fursa nyingi za kiutalii ukilinganisha na mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

Uwepo wa Bunge. Dodoma ndio mji liliko Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo ni dhahiri kuwa kipindi cha vikao vya bunge wafanyabiashara na wajasiriamali wa mji huo wanafaidika kwa kiasi kikubwa sana katika kujiingizia kipato. Baadhi ya maeneo yanayowapatia wakazi wa maeneo hayo fedha kipindi cha vikao hivyo ni pamoja na wamiliki wa hoteli, migahawa, nyumba za kulala wageni, maduka ya nguo sambamba na wauzaji wa nafaka.

Uwepo wa Ofisi nyingi za Kiserikali na Kisiasa. Dodoma ni moja ya miji yenye ofisi nyingi za serikali. Ofisi hizi hazijaja tu kipindi hiki ambacho serikali ya awamu ya tano imehamishia makao makuu jijini hapo bali zilikuwepo toka muda. Hivyo ongezeko la wafanyakazi katika mji huo ni fursa nyingine ya kiuchumi kutokana na wizara zote kuhamishia ofisi zake.

Soma Pia Dodoma yashika namba moja ukusanyaji wa mapato

Uwepo wa Chuo Kikuu cha Dodoma. Dodoma ndio chuo pekee chenye idadi kubwa ya udahili katika nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa jangwa la Sahara kikitajwa kuwa na vitivo nyingi ukilinganisha na vyuo vingine. Chuo hiki kimeweza kuibua fursa mbalimbali ikiwa ni pamoja na shughuli za usafiri, chakula, upanuzi wa makazi ya kuishi, maduka ya nguo na vifaa, migahawa n.k. Idadi kubwa ya wanafunzi jijini humo imeibua fursa mbalimbali za kiuchumi.

Kilimo cha Zabibu. Kuna usemi kuwa kama umefika Dodoma haujala zabibu basi haujafika. Ukizungumzia kilimo cha zabibu basi unazungumzia Dodoma. Zabibu ni moja kati ya fursa za kiuchumi zinazoifanya Dodma kufanya vizuri katika ukusanyaji mapato kutokana na uzalishaji wa kutosha wa matunda hayo mabyo yamekuwa yakitumika pia kutengenezea juisi, mvinyo na dawa za binadamu.

Viwanda. Dodoma ina viwanda mbalimbali, moja ya viwanda vinavyoitambulisha Dodoma ni pamoja na kiwanda cha magodoro ya Dodoma (QFL) pamoja na kiwanda cha kusindika mvinyo wa zabibu cha Alko Vintages. Viwanda hivi vimekuwa ni chachu ya maendeleo ya Dodoma kutokana na kuzalisha bidhaa zake kwa wingi tena kwa ubora unaoaminika na Shrikia la Viwango vya Ubora Tanzania (TBS).

Kama hujafikiria kuhusu jiji hili na unahitaji kuwekeza, Dodoma ni sehemu salama kwa uwekezaji kutokana na uwepo wa ulinzi wa kutosha, fursa mbalimbali za kimaendeleo, ofisi za kiserikali, huduma mbalimbali za kibenki na idadi ya watu yenye kuridhisha hivyo uwekezaji wowote jijini humo umewekewa mazingira mazuri ya kufanikiwa.

 

 

Tags: Alko VintagesbungeDodomamaendeleomapatoQFLTBSviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Bandari ya Bagamoyo kuendelezwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In