• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

Maliasili yahimizwa uwekezaji

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 21, 2023
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni na taratibu za uwekezaji kwenye maeneo ya Hifadhi za Taifa ili kuvutia wawekezaji wengi zaidi kutoka ndani na nje ya nchi hali itakayoongeza ajira na Pato la Taifa.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo Ally Juma Makoa (Mb) amesema hayo jijini Dodoma wakati wa kikao na Semina kuhusu utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Wizara hiyo na maendeleo ya uwekezaji wa huduma za malazi katika maeneo ya Hifadhi za Taifa hapa nchini.
Amesema uwepo wa mazingira rafiki ya uwekezaji utawawawezesha wafanyabiashara wengi zaidi waendelee kuwekeza kwa kujenga hoteli jambo litakaloongeza uwezo wa Tanzania kupokea watalii wengi zaidi kwa wakati mmoja na kupunguza changamoto ya upungufu wa vyumba vya kulala wageni.
Aidha, ameishukuru Wizara hiyo kutoa semina kwa wajumbe wa Kamati hiyo akieleza kuwa imeongeza uelewa juu ya uwekezaji katika maeneo ya hifadhi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali inaendelea kuweka utaratibu mzuri utakaorahisisha uwekezaji katika Sekta ya Utalii kwa kuendelea kuifungamanisha mifumo yote inayotoa huduma na taarifa za uwekezaji ikiwemo ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Uhamiaji pamoja na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ili iweze kusomana na kubadilishana taarifa.
“Kuna baadhi ya mifumo ya taasisi zetu inasomana na NIDA, Uhamiaji, BRELA na TRA na hii inarahisisha kujua taarifa za mwekezaji kama uraia wake, usajili wa biashara na hali ulipaji wa kodi,” amesisitizi Balozi Dkt. Chana.
Aidha, ameishukuru Kamati hiyo kwa kutoa ushauri na maoni na michango mbalimbali itakayoiwezesha Wizara ya Maliasili na Utalii kuboresha huduma mbalimbali katika Sekta ya Utalii.

ADVERTISEMENT
Tags: maliasiliTanzaniautaliiuwekezajiuwekezaji Zanzibar
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In