• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kuanzisha mnada wa chai

Mnada wa chai kuanzishwa mwaka huu

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 20, 2023
in KILIMO BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali ya Tanzania imesema itaanzisha mnada wa zao la chai ili kumsaidia mkulima kupata bei inayotokana na ushindani katika soko.

Akifungua mkutano wa wadau wa sekta ya chai nchini uliofanyika mkoani Iringa, Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema mnada huo hautakuwa na tozo.

“Serikali imeamua kuanzisha mnada wa chai, hofu ni nyingi za kihistoria na tunazodhani kwamba tunaweza tusifanikiwe, jambo la kwanza litakalotufanya tushindwe ni sisi wenyewe kutokuwa tayari,” amesema Bashe na kusisitiza kuwa ni lazima mnada huo uanze mwaka huu.

ADVERTISEMENT

Ameeleza kuwa uanzishwaji wa mnada huo ambao hatua zake zimekamilika, unakwenda sambamba na uanzishwaji wa maabara, maghala ya kuhifadhi zao hilo pamoja na ujenzi wa mazingira mazuri ya biashara ya majani ya chai.
“Mnada hautakuwa na tozo kwani serikali imekubali pia kuzibeba tozo hizo kwa manufaa ya taifa na wazalishaji wa zao hilo,” alisema bila kuzitaja tozo hizo.
Alisema kuanzishwa kwa mnada huo kutaongeza tija na ufanisi kwenye sekta ya chai utakaokuwa na manufaa na faida nyingi kwa wakulima wa zao hilo nchini.
Akitoa mfano alisema mnada huo utapunguza gharama za usafirishaji, utawezesha kutawala bei yake sokoni, kuongeza uwazi na uhakika wa ubora wa madaraja ya chai.

Taarifa iliyotolewa kwenye mkutano huo inaonesha zao hilo kwa sasa linalimwa katika wilaya 12 katika mikoa sita ya Mbeya, Kilimanjaro, Iringa, Tanga, Njombe na Kagera huku kukiwa na hekta 23,805 zilizopandwa na kati yake hekta 12,207 ni za wakulima wakubwa na hekta 11,598 za wakulima wadogo.

Tags: Bodi ya ChaiChaikilimoMajani ya chaiTanzania
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In