• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mradi wa bomba la mafuta kujadiliwa

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
September 20, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI, UWEKEZAJI
0
mwanzilishi na makamu mwenyekiti wa umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi Tanzania (ATOGS) Abdulrahim Abdulsamad akiongea na waandishi wa habari kuhusu mada mbalimbali zitakazo jadiliwa katika mkutano wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 september mwaka huu.

mwanzilishi na makamu mwenyekiti wa umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi Tanzania (ATOGS) Abdulrahim Abdulsamad akiongea na waandishi wa habari kuhusu mada mbalimbali zitakazo jadiliwa katika mkutano wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 september mwaka huu.

Share on FacebookShare on Twitter

Mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda kuja Tanzania ni moja ya ajenda zitakazojadiliwa katika mkutano mkuu wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 Septemba mwaka huu.

Akiongea na waandishi wa habari kuhusu mkutano huo Abdulsamad Abdulrahim ambaye ni Mwanzilishi na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi nchini Tanzania (ATOGS) alisema mkutano huo licha ya kushirikisha serikali na wadau mbalimbali wa mafuta na gesi kama vile Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na mengine kama vile PURA, EWURA, NEEC, ATOGS na TPSF pia mawaziri wa mafuta na gesi kutoka nchi mbalimbali za Afrika pia watashiriki.

ADVERTISEMENT

Mkutano huo ambao utafanyika nchi kwa mara ya pili umeandaliwa na Pietro Fiorentini Tanzania kwa kushirikiana na CWC Group pamoja na serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini. Kupitia mkutano huo fursa mbalimbali za uwekezaji hasa katika miradi ya gesi na mafuta zitajadiliwa na itakuwa ni fursa kwa watoa huduma katika sekta hiyo nchini kukutana na wenzao wa kimataifa.

Licha ya fursa hizo mkutano huo unatajwa kuwa chachu ya kutambua fursa mbadala kama vile ajira,ushirikiano wa wadau wa ndani na nje pamoja na serikali katika kuendeleza miradi hiyo pia fursa za maswali yatakayojibiwa papo kwa papo itatolewa.

Mkutano huo na waandishi wa habari pia ulihudhuriwa na Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) Mhandisi Kapuulya Musomba pamoja na Kamishna Msaidizi wa Maendeleo ya Petroli kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Joyce Kisamo.

Tags: ATOGSbombafursagesimafutamkutanomradiTPDCUganda
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

Serikali yakana mtandao wa kutoa mikopo kwa dk.45

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In