• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mradi wa bomba la mafuta kujadiliwa

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
September 20, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI, UWEKEZAJI
0
mwanzilishi na makamu mwenyekiti wa umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi Tanzania (ATOGS) Abdulrahim Abdulsamad akiongea na waandishi wa habari kuhusu mada mbalimbali zitakazo jadiliwa katika mkutano wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 september mwaka huu.

mwanzilishi na makamu mwenyekiti wa umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi Tanzania (ATOGS) Abdulrahim Abdulsamad akiongea na waandishi wa habari kuhusu mada mbalimbali zitakazo jadiliwa katika mkutano wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 september mwaka huu.

Share on FacebookShare on Twitter

Mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda kuja Tanzania ni moja ya ajenda zitakazojadiliwa katika mkutano mkuu wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 Septemba mwaka huu.

Akiongea na waandishi wa habari kuhusu mkutano huo Abdulsamad Abdulrahim ambaye ni Mwanzilishi na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi nchini Tanzania (ATOGS) alisema mkutano huo licha ya kushirikisha serikali na wadau mbalimbali wa mafuta na gesi kama vile Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na mengine kama vile PURA, EWURA, NEEC, ATOGS na TPSF pia mawaziri wa mafuta na gesi kutoka nchi mbalimbali za Afrika pia watashiriki.

Mkutano huo ambao utafanyika nchi kwa mara ya pili umeandaliwa na Pietro Fiorentini Tanzania kwa kushirikiana na CWC Group pamoja na serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini. Kupitia mkutano huo fursa mbalimbali za uwekezaji hasa katika miradi ya gesi na mafuta zitajadiliwa na itakuwa ni fursa kwa watoa huduma katika sekta hiyo nchini kukutana na wenzao wa kimataifa.

ADVERTISEMENT

Licha ya fursa hizo mkutano huo unatajwa kuwa chachu ya kutambua fursa mbadala kama vile ajira,ushirikiano wa wadau wa ndani na nje pamoja na serikali katika kuendeleza miradi hiyo pia fursa za maswali yatakayojibiwa papo kwa papo itatolewa.

Mkutano huo na waandishi wa habari pia ulihudhuriwa na Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) Mhandisi Kapuulya Musomba pamoja na Kamishna Msaidizi wa Maendeleo ya Petroli kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Joyce Kisamo.

Tags: ATOGSbombafursagesimafutamkutanomradiTPDCUganda
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

Serikali yakana mtandao wa kutoa mikopo kwa dk.45

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In