• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali yatumia bilioni 32 kupunguza umaskini

Patricia Richard by Patricia Richard
September 7, 2018
in UWEKEZAJI
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora,George Mkuchika.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora,George Mkuchika.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora George Mkuchika amesema takribani Sh. 32 bilioni zimetumika kupunguza tatizo la umaskini kupitia Mpango wa Kupunguza Kaya Masikini (Tasaf) tangu mpango huo kuanza utekelezaji. Waziri huyo ameeleza Bunge kuwa Sh. 7, 240, 498, 800 zimetumika kwenye miradi ya kutoa ajira za muda huku Sh. 25.24 bilioni zikiwa ruzuku kwa ajili ya sekta za elimu na afya wakati Sh. 464 milioni zikitumika kwa ruzuku kwa vikundi vya kuinua uchumi wa kaya.

Waziri Mkuchika amewataarifu wabunge kuwa, mpango wa Tasaf unatekelezwa kwa awamu kwenye halmashauri zote bara na visiwani na utakamilika ifikapo mwaka 2020/2023. Hadi hivi sasa, jumla ya kaya milioni 1.1 zenye watu takribani milioni tano zimeandikishwa kwenye vijiji, mitaa na shehia 9,986 nchi nzima.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wa Zanzibar, Unguja na Pemba Mkuchika amesema kaya 32,262 kutoka shehia 168 zimenufaika na mpango huo akitaja kaya 18,092 ni kutoka Unguja na 14,164 zikitokea Pemba.

“Lakini pia nataka niwapongeze walengwa wa Tasaf Unguja na Pemba. Katika nchi yetu, mikoa inayoongoza kwa kufanya vizuri miradi ya Tasaf ni mikoa ya Unguja na Pemba. Na kwa maana hiyo, nataka nimpongeze Waziri mwenzangu Mohammed Aboud Mohammed anayesimamia Tasaf kule Pemba na Zanzibar ambaye anamsaidia Makamu wa Rais ambaye ndiye Waziri mwenye dhamana ya Tasaf Zanzibar”. Ameongea Mkuchika.

Tags: ajirabungeRuzukuTasafuchumiUmaskini
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

WB yaijaza manoti Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In