• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali yawekeza mabilioni kupeleka mawasiliano vijijini

Kila mwananchi anapaswa kuwa na mawasiliano ya uhakika.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 14, 2018
in UWEKEZAJI
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu wa Sekta ya Mawasiliano, Mhandisi Dkt. Maria Sasabo (wa tatu kushoto) wakishuhudia utiaji saini wa mkataba wa kupeleka huduma za mawasiliano vijijini baina ya Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote, Mhandisi Peter Ulanga (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba (wanne kushoto)

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu wa Sekta ya Mawasiliano, Mhandisi Dkt. Maria Sasabo (wa tatu kushoto) wakishuhudia utiaji saini wa mkataba wa kupeleka huduma za mawasiliano vijijini baina ya Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote, Mhandisi Peter Ulanga (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba (wanne kushoto)

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema kila mwananchi anapaswa kuwa na mawasiliano ya uhakika kwani dunia hivi sasa ipo kiganjani. Waziri Kamwelwe amesema hayo wakati wa hafla ya utiaji saini baina ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na kampuni nne za simu za mkononi ambazo zilizopatiwa ruzuku na Sh. 173 bilioni na serikali kwa ajili ya kupeleka huduma za mawasiliano vijijini kwenye kata 173 zilizopo maeneo mbalimbali nchi nzima.

Kampuni zilizosaini mkataba wa kupeleka mawasiliano ni Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Kampuni ya Vodacom Tanzania, Kampuni ya Viettel Tanzania (Halotel) na Kampuni ya MIC Tanzania (Tigo).

ADVERTISEMENT

“Tumekubaliana na Shirika la Posta Tanzania (TPC) kuwa waanze kutoa huduma za kifedha na watumie huduma za Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) ili mawasiliano yaweze kufika vijijini kwa kuwa TPC na TTCL ni taasisi kongwe na wana mtandao mpana wa ofisi zao nchi nzima”. Amesema Waziri huyo.

Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa UCSAF Mhandisi Peter Ulanga amesema kampuni hizo za mawasiliano zimeshinda zabuni ya awamu ya tatu ya kupeleka mawasiliano kwenye kata 178 kwa gharama ya Sh. 28 bilioni. Mhandisi Ulanga ameongeza kuwa, hadi sasa UCSAF imepeleka mawasiliano kwenye takribani kata 703 nchi nzima ili kuboresha maisha ya wananchi kupitia TEHAMA.

Tags: Isack KamwelweMawasilianoTehamaUCSAF
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Serikali kuzishushia rungu taasisi zisizojiunga na mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji wa mapato ya serikali

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In