• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wawekezaji wamwaga bilioni 57 Iringa

Patricia Richard by Patricia Richard
September 17, 2018
in UWEKEZAJI
0
Kampuni zachangamkia uwekezaji Iringa

Mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Hapi.

Share on FacebookShare on Twitter

Uwekezaji umeendelea kuongezeka wilayani Mufindi mkoani Iringa huku ikielezwa kuwa, kampuni tatu zimewekeza mitaji ya takribani Sh. 57 bilioni katika viwanda vya kuchakata magogo, nguzo za umeme, kuni na mkaa zitokanazo na pumba za mbao. Kampuni hizo zimetajwa kuwa ni Hongway International inayoshughulika na kuchakata magogo, Qwihaya inayotengeneza nguzo za umeme na WF Renewable Resources inayotengeneza mkaa na kuni.

 

ADVERTISEMENT

Meneja Rasilimali Watu wa Hongway International Michael Mkamba pamoja na Meneja wa WF Renewable Resources Oscar Kaduma wamesema wanalenga kuongeza thamani ya mazao ya misitu, kupeperusha bendera ya Tanzania kwa kuzalisha bidhaa zenye hadhi ya kimataifa na vilevile kuzalisha ajira takribani 500 kwa watanzania.

 

Kwa upande wake, Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema serikali itashirikiana kwa karibu na wawekezaji na pia itawalinda. Hapi pia ametoa wito kwa wawekezaji zaidi kuendelea kujitokeza kwani kuna uhaba wa viwanda vya kuchakata maboksi na vifungashio, ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa Iringa.

Tags: ajiraally hapiIringaviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkurugenzi wa M-Commerce wa Vodacom Tanzania Ashtosh Tiwary (kulia) akikabidhi funguo za gari kwa Lucy Sarah Ismail (wa pili kulia) mshindi wa 10 wa gari za kampeni ya m-pesa wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka kumi ya m-pesa jijini Dar es Salaam wikiendi hii. Wengine ni Mkurugenzi wa mawasiliano na uhusiano wa Vodacom, Rosalynn Mworia (wa pili kushoto) na Alec Mulonga Mkurugenzi wa Mtandao wa Vodacom (kushoto).

Maadhimisho ya miaka 10 ya huduma ya M-Pesa ya Vodacom yafikia tamati

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In