• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, October 2, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wawekezaji wamwaga bilioni 57 Iringa

Patricia Richard by Patricia Richard
September 17, 2018
in UWEKEZAJI
0
Kampuni zachangamkia uwekezaji Iringa

Mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Hapi.

Share on FacebookShare on Twitter

Uwekezaji umeendelea kuongezeka wilayani Mufindi mkoani Iringa huku ikielezwa kuwa, kampuni tatu zimewekeza mitaji ya takribani Sh. 57 bilioni katika viwanda vya kuchakata magogo, nguzo za umeme, kuni na mkaa zitokanazo na pumba za mbao. Kampuni hizo zimetajwa kuwa ni Hongway International inayoshughulika na kuchakata magogo, Qwihaya inayotengeneza nguzo za umeme na WF Renewable Resources inayotengeneza mkaa na kuni.

 

ADVERTISEMENT

Meneja Rasilimali Watu wa Hongway International Michael Mkamba pamoja na Meneja wa WF Renewable Resources Oscar Kaduma wamesema wanalenga kuongeza thamani ya mazao ya misitu, kupeperusha bendera ya Tanzania kwa kuzalisha bidhaa zenye hadhi ya kimataifa na vilevile kuzalisha ajira takribani 500 kwa watanzania.

 

Kwa upande wake, Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema serikali itashirikiana kwa karibu na wawekezaji na pia itawalinda. Hapi pia ametoa wito kwa wawekezaji zaidi kuendelea kujitokeza kwani kuna uhaba wa viwanda vya kuchakata maboksi na vifungashio, ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa Iringa.

Tags: ajiraally hapiIringaviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkurugenzi wa M-Commerce wa Vodacom Tanzania Ashtosh Tiwary (kulia) akikabidhi funguo za gari kwa Lucy Sarah Ismail (wa pili kulia) mshindi wa 10 wa gari za kampeni ya m-pesa wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka kumi ya m-pesa jijini Dar es Salaam wikiendi hii. Wengine ni Mkurugenzi wa mawasiliano na uhusiano wa Vodacom, Rosalynn Mworia (wa pili kushoto) na Alec Mulonga Mkurugenzi wa Mtandao wa Vodacom (kushoto).

Maadhimisho ya miaka 10 ya huduma ya M-Pesa ya Vodacom yafikia tamati

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In