• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dk. Pima: Hatujawahi kukusanya mapato chini ya 85%

Halmashauri hiyo hukusanya mapato ya ndani yasiyopungua asilimia 85 ya malengo yake.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 19, 2018
in FEDHA
0
Makosa ya kuepuka katika uwekezaji
Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kaliua, Dk. John Pima amesema halmashauri hiyo hukusanya mapato ya ndani yasiyopungua asilimia 85 ya malengo yake. Dk. Pima amesema hayo wakati wa kuadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa rasmi kwa halmashauri hiyo ambapo amesema kuwa, halmashauri hiyo imeendelea kufanya vizuri kwa ujumla katika makusanyo ya ndani. Dk. Pima ameeleza kuwa tangu kuanzishwa kwake, wameweza kukusanya mapato ya ndani kiwango cha asilimia 85 kikiwa ni cha chini kabisa huku asilimia 130 ikiwa ndio kiwango cha juu kwa mwaka wa fedha uliopita, na kupelekea halmashauri hiyo kuwa ya nne kitaifa katika ukusanyaji wa mapato.

 

ADVERTISEMENT

“Kazi kubwa imefanyika katika kipindi hiki tunawashukuru wananchi kwa ushirikiano mkubwa katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana, ushirikiano huu, watendaji mzidi kuchapa kazi na kuwatumikia wananchi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa”. Ameeleza Dk. Pima.

Tags: Dk. John PimafedhaKaliuamaendeleomapato
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa wilaya ya Longido, Bw Frank Mwaisumbe akikata utepe kuzindua mnara wa kwanza wa simu za mkononi katika wilayani Longido mkoani Manyara uliozinduliwa na kampuni ya Vodacom Tanzania Mwishoni mwa wiki iliyopita. Mnara huu utasaidia mawasiliano na shuuli za kiuchuni kwani eneo hilo ni eneo mahususi kwa uchimbaji wa madini ya Ruby mkoani hapo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kanda ya Kazikazini wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bi Brigita Stephen (kushoto) na wanakijiji wa Longido.

Vodacom yazindua mnara wa kwanza wa simu Wilayani Longido

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In