• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Manyara yajipanga kuvuka malengo uanzishaji viwanda

Mnyeti ameeleza kuwa wanatarajia mkoa huo kufikia na kuvuka malengo ya viwanda vipya zaidi ya 100 kabla ya mwezi Desemba mwaka huu

Patricia Richard by Patricia Richard
November 19, 2018
in VIWANDA
0
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti.

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amesema mkoa huo umetekeleza agizo la kila mkoa kuanzisha viwanda 100 lilitolewa na Waziri wa TAMISEMI, Suleiman Jafo. Mkuu huyo amesema hayo wakati wa ziara ya Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan wilayani Hanang na kueleza kuwa hadi kufikia Septemba 30 mwaka huu, kulikuwa na viwanda vipya takribani 29, baadhi vikiwa vimekarabatiwa na vinafanya kazi, huku vingiwe vikiwa katika hatua za ujenzi na baadhi vikiwa bado havijaanza ujenzi.

ADVERTISEMENT

Mnyeti ameeleza kuwa wanatarajia mkoa huo kufikia na kuvuka malengo ya viwanda vipya zaidi ya 100 kabla ya mwezi Desemba mwaka huu na kuongeza kuwa ofisi yake inaendea na jitihada za kuhamasisha wananchi kuwekeza katika viwanda ili kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla.

“Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2013 za Ofisi ya takwimu ya taifa zinaonyesha kuwa mkoa wa Manyara una viwanda 2,400 kati ya hivyo viwanda vidogo sana ni 2,067 vidogo 305, vya kati 14 na vikubwa 14”. Amesema Mkuu huyo wa mkoa.

Tags: ManyaraTamisemiuchumi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Makosa ya kuepuka katika uwekezaji

Dk. Pima: Hatujawahi kukusanya mapato chini ya 85%

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In