• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania ulioathirika kutokana na  mlipuko wa Covid 19.

Jensen Kato by Jensen Kato
June 12, 2020
in FEDHA
0
International Monetary Fund logo is seen outside the headquarters building during the IMF/World Bank spring meeting in Washington, U.S., April 20, 2018. REUTERS/Yuri Gripas

International Monetary Fund logo is seen outside the headquarters building during the IMF/World Bank spring meeting in Washington, U.S., April 20, 2018. REUTERS/Yuri Gripas

Share on FacebookShare on Twitter

SHIRIKA  la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa  Juni 10.

Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania ulioathirika kutokana na  mlipuko wa Covid 19.

Hata hivyo IMF kupitia mfuko wake huo wa maafa imeahidi kuendelea kuisaidia Tanzania tena kiasi cha Dola za kimarekani Million 25.7 kuanzia Oktoba kutegemeana na uwezo wa mfuko kwa wakati huo.

ADVERTISEMENT

Ambapo nyongeza hiyo ya mkopo itatolewa kwa miezi, kuanzia Oktoba 14, 2020 mpaka Aprili 13, 2022.

Akiongea Mkurugenzi mtendeji wa wa Mfuko wa Maafa Tao Zhang amesema  kuwa mlipuko wa Covid 19 kwa kiasi umeathiri uchumi wa Tanzania licha ya Mamlaka nchini humo kuendelea kuchukua  hatua mbalimbali katika Kuhakikisha hakuna tokeo la anguko la kiuchumi.

Amesema kuwa mfuko huo wa maafa utatoa rasilimali kwa umma katika kusaidia janga hilo na mamlaka nchini humo zimejitolea kusimamia rasilimali hizo kwa kusimamia rasilimali kwa matumizi yaliyokusudiwa na kwa uwazi zaidi ikiwa ni pamoja na kupitia kaguzi mbalimbali kuhusiana na matumizi yanayohusiana na COVID.

Pia ameshauri kuwa, ili kuweza kukabiliana na hatari iliyobaki ni muhimu kulinda fedha  kwa ajili ya sekta ya afya na matumizi mengine ya kijamii yaliyopewa kipaumbele  katika bajeti ya FY 2020/21 na pia kuhakikisha ukaribu baina ya Shirika la Afya Duniani (WHO,) Mashirika ya kimataifa na wafadhili unadumishwa.

“Kwa kuangalia mbele zaidi marekebisho ya kimuundo ni muhimu katika kujenga uchumi mkubwa  hasa kwa kuangalia makusanyo ikiwemo kodi na matumizi ya serikali pamoja na kuwezesha mitaji kwa wananchi, mazingira ya biashara na uboreshaji wa mikopo inayotolewa na mabenki” ameeleza Tao.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

SERIKALI YAOMBWA KULIFANYA ZAO LA PILIPILI KUA LA KIBIASHARA

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In