• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mapato sekta ya madini yaongezeka maradufu

Patricia Richard by Patricia Richard
October 24, 2018
in FEDHA
0
Waziri wa Madini, Angellah Kairuki.

Waziri wa Madini, Angellah Kairuki.

Share on FacebookShare on Twitter

Frank Mvungi- MAELEZO

Mapato yanayotokana na madini ya Tanzanite yameongezeka kutoka milioni 166 mwaka 2015 hadi zaidi ya shilingi bilioni 1.28 kwa kipindi cha Januari hadi Septemba 2018.

Akizungumza  katika kipindi cha “TUNATEKELEZA” Waziri wa Madini Mhe. Angellah Kairuki amesema kuwa kuongezeka kwa mapato hayo ni matokeo ya hatua zilizochukuliwa na Serikali ikiwemo ujenzi wa ukuta katika eneo la Mirerani na kuimarishwa kwa ulinzi katika viwanja vya ndege na maeneo yote ya mipakani kuzuia utoroshaji wa madini.

“Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa mchango wa sekta ya madini unaongezeka kutoka asilimia 4.8 kwa sasa hadi kufikia asilimia 10 mwaka 2025;” Alisisitiza Mhe. Kairuki

Akifafanua amesema kuwa Serikali imejipanga kuongeza mapato yanayotokana na madini kwa ujumla kutoka bilioni 301 mwaka 2017/2018 hadi bilioni 310 mwaka 2018/2019.

Aliongeza kuwa katika kuimarisha uwekezaji katika sekta hiyo Wizara ya Madini imeandaa makongamano katika nchi za China, Urusi, Israel, India, Thailand, na Falme za Kiarabu ili kuvutia wawekezaji katika sekta ya madini hali itakayosaidia kukuza na kuongeza mchango wake katika pato la taifa.

Kutokana na marekebisho ya Sheria ya madini yaliyofanyika na kutungwa kwa sheria mpya katika usimamizi wa rasilimali za taifa kumewezesha mrabaha kuongezeka kutoka asilimia 4 hadi 6 kwa sasa.

Akizungumzia wachimbaji wadogo Mhe. Kairuki amesema kuwa serikali imewatengea zaidi ya maeneo 46 ili kuwapa fursa ya kushiriki katika ujenzi wa uchumi kupitia katika sekta ya madini.

ADVERTISEMENT

Pia alieleza kuwa Serikali inawajengea uwezo wachimbaji hao ili waweze kuwa na mbinu za kisasa za uchimbaji, uongezaji thamani na uzingatiaji wa sheria zilizopo kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla.

Katika kuimarisha sekta hiyo, Mhe. Kairuki amebainisha kuwa tayari Wizara yake imeanza mchakato wa kuhakikisha kuwa madini ya Tanzanite yanapata hatimiliki ikiwa ni utambulisho rasmi kuwa madini hayo yanatoka Tanzania pekee hali itakayoongeza mapato kutokana na madini hayo.

Kipindi cha “TUNATEKELEZA” kinaratibiwa na Idara ya Habari MAELEZO na kurushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania na awamu hii inawashirikisha Waheshimiwa Mawaziri wote.

Tags: Angellah KairukimapatoPato la taifatanzaniteuchumiuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Majaliwa ataka benki kushusha riba

Vijana washauriwa kuacha kuchagua kazi

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In