• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Milioni 600 kuwanufaisha wajasiriamali Njombe

Lengo ni kuwajengea uwezo zaidi wajasiriamali ili kuongeza tija katika shughuli wanazofanya na kupanua wigo wa uzalishaji.  

Patricia Richard by Patricia Richard
November 21, 2018
in MIKOPO
0
Meneja wa Benki ya NMB Mkoa wa Njombe Bw. Daniel  Zake akiwasilisha mada kwa wajasiriamali wa Mkoani Njombe wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) na kuwashirikisha wajasiriamali zaidi ya 700 wa mjini humo

Meneja wa Benki ya NMB Mkoa wa Njombe Bw. Daniel Zake akiwasilisha mada kwa wajasiriamali wa Mkoani Njombe wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) na kuwashirikisha wajasiriamali zaidi ya 700 wa mjini humo

Share on FacebookShare on Twitter

Meneja wa Benki ya NMB  mkoani Njombe, Daniel Zake amesema zaidi ya Sh. 600 milioni zimekopeshwa kwa wajasiriamali mkoani humo baada ya kurasimisha ardhi, hali iliyopelekea kupata mikopo hiyo yenye dhumuni la kuwawezesha wajasiriamali hao kupata mitaji na kuanzisha biashara ili kukuza uchumi. Zake ameeleza kuwa, kazi inayofanywa kupitia Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) inalenga kuwainua wajasiriamali wadogo.

Akizungumza wakati wa mahojiano maalum kwenye mafunzo kwa wajasiriamali hao. Meneja huyo ameeleza kuwa, lengo ni kuwajengea uwezo zaidi wajasiriamali ili kuongeza tija katika shughuli wanazofanya na kupanua wigo wa uzalishaji.

ADVERTISEMENT

“Tunatoa mikopo kwa kutumia leseni za makazi na hati za kimila ambazo wananchi wanapata baada ya kurasimisha maeneo yao na kupimwa na hatimaye kupata hati na katika swala hili, tunapongeza Mpango wa Taifa wa  Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA)”. Amesema Zake.

Pamoja na hayo, Meneja huyo amesema wajasiriamali wanaporasimisha biashara zao, mbali na kupanua wigo wa biashara hizo pia wanaongeza masoko, ajira na kuiwezesha serikali kuongeza ukusanyaji wa kodi na mapato kutokana na kukua kwa uzalishaji na shughuli za ujasiriamali kwa ujumla.

Tags: biasharaMkurabitaNjombeNMBuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri Mkuu: Utawala bora muhimu

Majaliwa mgeni rasmi Jukwaa la biashara na uwekezaji Tabora

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In