• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bilioni 50 kukarabati uwanja wa ndege Mtwara

“Ukarabati huo unafanywa na Kampuni ya Beijing Constraction Engineering Group (BCEG) kwa muda ya miezi 24"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 19, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ofisa Uendeshaji wa uwanja wa ndege wa Mtwara, Zitta Majinge amesema serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imetenga Sh. 50 bilioni ili kukarabati uwanja huo na kurahisisha huduma za usafiri wa anga. Akizungumza na waandishi wa habari, Majinge amesema kuwa, karabati huo unahusisha ujenzi wa barabara ya urefu wa kilomita 1.2, maegesho ya ndege na njia za kuruka na kutua ndege. Akizungumzia ukarabati huo, Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema unafanywa na Kampuni ya Beijing Constraction Engineering Group (BCEG) na unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba 2020.

“Ukarabati huo unafanywa na kampuni ya Beijing Constraction Engineering Group (BCEG) kwa muda ya miezi 24. Mkandarasi yupo katika hatua za maandalizi na ujenzi wa kambi ya Ofisi ya Mhandisi Mshauri”. Amesema Byakanwa.

ADVERTISEMENT

Katika maelezo yake, Majinge, amesema urefu wa njia ya kuruka na kutua ndege hivi sasa ni mita 2,258 huku ndege zenye uwezo wa kutua uwanjani hapo kwa sasa ni zile zenye uzito wa tani 70. Imeelezwa kuwa baada ya ukarabati huo wanatarajia ndege zenye uzito wa tani 300 zitakuwa na uwezo wa kutua.

“Ukarabati ukikamilika kiwanja kitakuwa na uwezo wa kuhudumia ndege kubwa zaidi. Hivi sasa makampuni mengi yanaomba kuja lakini yanashindwa kutokana na miundombinu mingi kuchoka hasa njia za kurukia na kutua ndege”. Amesema Majinge.

 

Tags: BCEGMtwaraUsafiri wa angaUwanja wa ndege
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Meneja wa Benki ya NMB Mkoa wa Njombe Bw. Daniel  Zake akiwasilisha mada kwa wajasiriamali wa Mkoani Njombe wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) na kuwashirikisha wajasiriamali zaidi ya 700 wa mjini humo

Milioni 600 kuwanufaisha wajasiriamali Njombe

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In