• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bilioni 50 kukarabati uwanja wa ndege Mtwara

“Ukarabati huo unafanywa na Kampuni ya Beijing Constraction Engineering Group (BCEG) kwa muda ya miezi 24"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 19, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ofisa Uendeshaji wa uwanja wa ndege wa Mtwara, Zitta Majinge amesema serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imetenga Sh. 50 bilioni ili kukarabati uwanja huo na kurahisisha huduma za usafiri wa anga. Akizungumza na waandishi wa habari, Majinge amesema kuwa, karabati huo unahusisha ujenzi wa barabara ya urefu wa kilomita 1.2, maegesho ya ndege na njia za kuruka na kutua ndege. Akizungumzia ukarabati huo, Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema unafanywa na Kampuni ya Beijing Constraction Engineering Group (BCEG) na unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba 2020.

“Ukarabati huo unafanywa na kampuni ya Beijing Constraction Engineering Group (BCEG) kwa muda ya miezi 24. Mkandarasi yupo katika hatua za maandalizi na ujenzi wa kambi ya Ofisi ya Mhandisi Mshauri”. Amesema Byakanwa.

ADVERTISEMENT

Katika maelezo yake, Majinge, amesema urefu wa njia ya kuruka na kutua ndege hivi sasa ni mita 2,258 huku ndege zenye uwezo wa kutua uwanjani hapo kwa sasa ni zile zenye uzito wa tani 70. Imeelezwa kuwa baada ya ukarabati huo wanatarajia ndege zenye uzito wa tani 300 zitakuwa na uwezo wa kutua.

“Ukarabati ukikamilika kiwanja kitakuwa na uwezo wa kuhudumia ndege kubwa zaidi. Hivi sasa makampuni mengi yanaomba kuja lakini yanashindwa kutokana na miundombinu mingi kuchoka hasa njia za kurukia na kutua ndege”. Amesema Majinge.

 

Tags: BCEGMtwaraUsafiri wa angaUwanja wa ndege
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Meneja wa Benki ya NMB Mkoa wa Njombe Bw. Daniel  Zake akiwasilisha mada kwa wajasiriamali wa Mkoani Njombe wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) na kuwashirikisha wajasiriamali zaidi ya 700 wa mjini humo

Milioni 600 kuwanufaisha wajasiriamali Njombe

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In