• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mkopo wafurahisha wakulima wa kahawa

Patricia Richard by Patricia Richard
September 6, 2018
in MIKOPO
0
USDF yawapa tumaini wakulima kahawa
Share on FacebookShare on Twitter

Mkopo wa Sh. 27.2 bilioni uliotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa lengo la kuendeleza kilimo cha kahawa mkoani Kagera umeonekana kuzaa matunda baada ya uzalishaji wa zao hilo kuongezeka na kufikia kilo 33 milioni ikilinganishwa na kilo 5 za msimu uliopita.

Mrajisi Msaidizi wa vyama vya ushirika mkoani humo Robart Kashambo amesema mkopo huo umewapa imani kubwa wadau wa kahawa na kuongeza kuwa, kupitia TADB wakulima wengi wamekombolewa kupitia malipo ya awali ya wakulima yanayofanywa kupitia vyama vya ushirika ambavyo ni pamoja na KDCU, KCU na Chama cha wakulima wilaya ya Ngara.

ADVERTISEMENT

“Mabadiliko yaliyofanywa na serikali msimu wa mwaka 2018/2019 tayari takribani kilo milioni 33 zimeshakusanywa kutokana na mkopo uliotolewa na TADB. Kwa sasa tuna zaidi ya Sh. 25 bilioni zimeingia kutoka benki ya kilimo na hii imepunguza makali kwa wakulima kupata fedha kwa wakati”. Amesema Kashambo.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB Japhet Justine amesema benki hiyo imedhamiria kutekeleza kwa vitendo malengo ya serikali kuwezesha wakulima kupitia vyama vya msingi kama alivyoagiza Waziri Mkuu.

“Kwa muda mrefu vyama hivi vilihitaji kuwezeshwa kimtaji kutokana na kushindwa kupata mikopo kupitia mabenki ya kibiashara sababu ya madeni ya muda mrefu. Mikopo hii imeweza kuvijengea vyama hivi uwezo”. Ameeleza Mkurugenzi huyo.

Tags: fedhaKagerakahawakilimoTADBuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
SIDO yasisitiza utekelezaji wa ODOP

SIDO kuchochea uchumi wa viwanda

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In