• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

SIDO kuchochea uchumi wa viwanda

Patricia Richard by Patricia Richard
September 6, 2018
in UJASIRIAMALI
0
SIDO yasisitiza utekelezaji wa ODOP

Mkurugenzi Mkuu wa SIDO, Prof. Sylvester Mpanduji.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la kuhudumia viwanda vidogo nchini (SIDO) Prof. Sylvester Mpanduji amesema shirika hilo kwa kushirikiana na mkoa wa Simiyu wameandaa maonyesho ya kitaifa ya wajasiriamali wadogo na wa kati ili kuhamasisha jamii kujenga na kuanzisha viwanda vidogo. Prof. Mpanduji amesema maonyesho hayo yatafanyika mkoani Simiyu kuanzia tarehe 23 hadi 28 mwezi Oktoba na mbali na uhamasishaji, pia yataonyesha teknolojia za kisasa za uzalishaji.

“Haya ni maonyesho ya kwanza ya kitaifa kwa wajasiriamali ambayo yanashirikisha pia taasisi za kifedha, taasisi mbalimbali za serikali zikiwemo TBS, TDF na wengine ili kusaidia kutoa muongozo katika uzalishaji”. Amesema Prof. Mpanduji.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, Mkurugenzi huyo pia amedai kuwa maonyesho hayo ni fursa ya kipekee kwa wajasiriamali kuonyesha ubora wa bidhaa zao kwani ni nafasi mojawapo ya kutafuta masoko ya uhakika na kujitangaza.

“Maonyesho haya ya kitaifa yatakuwa yakifanyika kila mwaka katika mikoa mbalimbali. Mwaka huu tunaanza na mkoa wa Simiyu”. Ameeleza Mkurugenzi huyo.

Pamoja na kuwataka wadau mbalimbali kuchangamkia maonyesho hayo, Prof. Mpanduji pia amesema wamealika washiriki kutoka mataifa ya India, China na Ujerumani ili kuongeza motisha na kutambulisha teknolojia mpya za uzalishaji wa viwandani.

“Tumejipanga kufanikisha azma ya serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli ya kujenga uchumi wa kati na viwanda ifikapo mwaka 2025”. Amesisitiza Prof. Mpanduji.

Tags: SidoSimiyuTeknolojiauchumiuzalishajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

TADB yafufua viwanda Kagera

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In