• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

SIDO kuchochea uchumi wa viwanda

Patricia Richard by Patricia Richard
September 6, 2018
in UJASIRIAMALI
0
SIDO yasisitiza utekelezaji wa ODOP

Mkurugenzi Mkuu wa SIDO, Prof. Sylvester Mpanduji.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la kuhudumia viwanda vidogo nchini (SIDO) Prof. Sylvester Mpanduji amesema shirika hilo kwa kushirikiana na mkoa wa Simiyu wameandaa maonyesho ya kitaifa ya wajasiriamali wadogo na wa kati ili kuhamasisha jamii kujenga na kuanzisha viwanda vidogo. Prof. Mpanduji amesema maonyesho hayo yatafanyika mkoani Simiyu kuanzia tarehe 23 hadi 28 mwezi Oktoba na mbali na uhamasishaji, pia yataonyesha teknolojia za kisasa za uzalishaji.

“Haya ni maonyesho ya kwanza ya kitaifa kwa wajasiriamali ambayo yanashirikisha pia taasisi za kifedha, taasisi mbalimbali za serikali zikiwemo TBS, TDF na wengine ili kusaidia kutoa muongozo katika uzalishaji”. Amesema Prof. Mpanduji.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, Mkurugenzi huyo pia amedai kuwa maonyesho hayo ni fursa ya kipekee kwa wajasiriamali kuonyesha ubora wa bidhaa zao kwani ni nafasi mojawapo ya kutafuta masoko ya uhakika na kujitangaza.

“Maonyesho haya ya kitaifa yatakuwa yakifanyika kila mwaka katika mikoa mbalimbali. Mwaka huu tunaanza na mkoa wa Simiyu”. Ameeleza Mkurugenzi huyo.

Pamoja na kuwataka wadau mbalimbali kuchangamkia maonyesho hayo, Prof. Mpanduji pia amesema wamealika washiriki kutoka mataifa ya India, China na Ujerumani ili kuongeza motisha na kutambulisha teknolojia mpya za uzalishaji wa viwandani.

“Tumejipanga kufanikisha azma ya serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli ya kujenga uchumi wa kati na viwanda ifikapo mwaka 2025”. Amesisitiza Prof. Mpanduji.

Tags: SidoSimiyuTeknolojiauchumiuzalishajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

TADB yafufua viwanda Kagera

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In