• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Passport zaingiza mabilioni serikalini

Katika kipindi cha Januari mpaka Novemba 25 mwaka huu, Idara hiyo imefanikiwa kukusanya Sh. 7.8 bilioni kutokana na utoaji wa huduma ya hati za kusafiria pekee.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 29, 2018
in FEDHA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Anna Makakala amesema katika kipindi cha Januari mpaka Novemba 25 mwaka huu, Idara hiyo imefanikiwa kukusanya Sh. 7.8 bilioni kutokana na utoaji wa huduma ya hati za kusafiria pekee. Makakala ametoa takwimu hizo wakati akizindua mfumo wa kielektroniki wa Visa na Vibali vya ukazi na kueleza kuwa, mpaka sasa Idara ya Uhamiaji imefanikiwa kutoa hati 55,177 za kusafiria kwa watanzania.

“Tumefanikiwa kutoa pasipoti mpya za kielektroniki (e-Passport) 55,177 kwa raia wa Tanzania tangu Januari 31 hadi kufikia Novemba 25, mwaka huu. Aidha, Sh. 7,887,710,000 zimekusanywa kutokana na huduma ya pasipoti pekee”. Amesema Kamishna Jenerali huyo.

ADVERTISEMENT

Katika maelezo yake, Makakala amesema kuwa mafanikio yaliyopatikana katika hazi hizo mpya za kusafiria ambayo ni awamu ya kwanza ya mradi wa Uhamiaji Mtandao ni pamoja na hati hizo kupatikana kwa urahisi na kwa muda mchache. Kamishna huyo amesema tayari mikoa takribani 25 hapa nchini imepatiwa huduma hiyo, huku mchakati ukiendelea katika mikoa minne iliyobaki bara pamoja na Zanzibar.

Kamishna Jenerali huyo amedai kuwa Idara ya Uhamiaji imekusanya Sh. 161,669,471,498,59 ambayo ni sawa na 89.42 ya malengo huku wakitarajia kukusanya zaidi mwaka wa fedha 2018/2019 kutokana na mifumo ya kisasa iliyozinduliwa.

Tags: Anna MakakalaPassporttakwimuUhamiajiVisa
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Majaliwa ataka benki kushusha riba

Serikali kuwainua wachimbaji wadogo

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In