• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wezi wamkosesha usingizi Dk. Mpango

Patricia Richard by Patricia Richard
July 11, 2018
in FEDHA
0
Matajiri wanatumiaje pesa zao?
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango amesema moja kati ya vitu vinavyomnyima raha na usingizi ni pamoja na upotevu wa fedha za umma kwa kisingizio cha manunuzi. Dk Mpango amesema hayo katika maonyesho ya 42 ya biashara ya kimataifa alipozungumza na watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kwenye banda lao la maonyesho yanayoendelea hapa Jijini Dar es Salaam.

Waziri huyo amedai fedha nyingi za umma zimekuwa zikipotea, na hivyo ameagiza kufanyika kwa utaratibu wa kudhibiti hali hiyo.

“ Ninawaagiza PPRA kuhakikisha taasisi zote za serikali zinajiunga na mfumo wa ununuzi wa umma kwa njia ya Mtandao (TANePS) ili kudhibiti na kuondoa urasimu uliokuwa ukifanyika” Alisema Dk. Mpango na kuongeza,

“ Kesho mje ofisini kwangu mniletee mpango kazi wa kulikamilisha hilo na mjiwekee muda kwa wale ambao hawajakamilisha kwa wakati waliojiwekea wachukuliwe hatua”

ADVERTISEMENT

Dk. Mpango alisema kuwa moja ya sehemu ambayo serikali imekuwa ikiibiwa ni pamoja na ununuzi wa umma, kwa kuwa fedha nyingi zinapotea hivyo ameitaka PPRA kuzibana taasisi zote.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Umma PPRA, Betha Soka amesema tayari mfumo  huo umeanza kufanya kazi kwa kuziunga taasisi 100 za umma zinazohusika na ununuzi wa vifaa tiba na dawa. Vilevile, Soka amedai kuwa, PPRA ina mpango mkakati wa miaka mitano ambao utakamilika 2019/2020.

Tags: Dk. Philip MpangofedhaPPRATANePS
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mfumuko wa bei wapungua

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In