• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB kuwafuata wakulima vijijini

Patricia Richard by Patricia Richard
July 11, 2018
in BENKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania(TADB) imeanza kupanua huduma zake kwa kufungua matawi katika kanda mbili jijini Mwanza na Dodoma. Uamuzi huo umekuja kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Magufuli la kuitaka benki hiyo kufungua matawi yake vijijini ili kuwasaidia wananchi hasa wakulima wadogo kupata huduma ya benki vijijini ikiwa ni pamoja na mikopo.

Rais Magufuli alitoa agizo hilo alipozindua Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo awamu ya pili (SADP II) ambapo alitoa wito kwa TADB kujikita kukopesha wakulima badala ya kukopesha benki.

Akizungumza katika Maonyesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba), Mkurugenzi wa Fedha na Tehama wa TADB Severin Ndaskoi alisema kuwa wameshaanza kutekeleza agizo hilo kwa kufungua matwi yao katika kanda ya mikoa hiyo ili kuwafikia wananchi kwa urahisi.

“Katika mikoa hiyo ofisi na kila kinachohitajika ikiwemo wafanyakazi vipo tayari,bado kufungua rasmi lakini shughuli ndogondogo zimeshaanza” Alisema Ndaskoi.

Ndaskoi alidai kuwa kutokana na uchanga wao hawawezi kumudu kufungua matawi nchi nzima lakini watashirikiana na benki nyingine kuwasaidia wananchi kwa kutoa dhamana.

“ Wakulima hawakopesheki kwa urahisi kutokana na baadhi ya benki kuogopa hatari iliyopo kwenye kilimo, hivyo kwa kuwasaidia tunawapa dhamana wao wanatoa asilimia 50 na sisi 50 ili wakopesheke” Alifafanua Ndaskoi.

Aidha Mkurugenzi huyo amedai hadi mwisho wa mwaka huu, TADB itakuwa imefungua matawi yake katika mikoa minne ikiwemo Kigoma, ikiwa ni pamoja na utoaji wa mikopo yenye jumla ya Tsh. 45 bilioni kutoka bilioni 11 zilizokopeshwa mwaka jana.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema anataka benki hiyo kuongeza kasi na kuwafikia wakulima.

“ Sitaki kuiona hii benki mijini, nataka ijitanue zaidi walipo wakulima.” Ameagiza Dk. Mpango

Tags: benkibiasharafedhamikopoTADBwakulima
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Matajiri wanatumiaje pesa zao?

Wezi wamkosesha usingizi Dk. Mpango

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In