• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Geita kugeuka kitovu cha biashara EAC

Patricia Richard by Patricia Richard
September 25, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel.

Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel amesema ili kuisukuma Tanzania kuwa na mchango mkubwa wa kutangaza uzalishaji, teknolojia pamoja na huduma zinazotolea kupitia sekta za viwanda na ujasiriamali, mkoa huo unatarajia kuanza ujenzi wa kituo cha kimataifa cha biashara Januari mwakani na kutoa fursa kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Gabriel amesema kituo hicho kinalenga kutangaza huduma pamoja na bidhaa mbalimbali za hapa nchini na hivyo kufungua milango ya biashara kwa nchi jirani.

“Kuanzia Januari mwakani tunatarajia kuanza ujenzi wa kituo cha kimataifa cha maonyesho ya biashara ambacho kitakuwa mjini Geita ambapo watanzania wataweza kufika mkoa wa Geita na kujionea mfano wa bidhaa na huduma za kampuni mbalimbali. Kituo hicho kitakuwa kama kile cha maonyesho ya biashara ya kimataifa cha Mwalimu Nyerere kilichopo jijini Dar es salaam ambacho hutumika kwa ajili ya maonyesho ya Sabasaba. Sasa tuliona kwa nini watu wasafiri mbali wakati wana uwezo wa kwenda maeneo ya karibu na kupata kile wanachoweza kukipata kwenye viwanja vya Sabasaba vilivyopo jijini Dar es salaam”. Amedai Mkuu huyo wa mkoa.

ADVERTISEMENT

Kitovu hicho cha biashara kitafahamika kama Kituo cha Kimataifa cha Biashara cha Geita ambapo Gabriel ameeleza kuwa kama  mkoa, wamepanga kuhudumia kanda ya ziwa pamoja na nchi jirani na kuongeza kuwa fedha za kutekeleza mradi huo zitatokana na fedha za huduma za kijamii na wahisani.

Tags: biasharaEACGeitaujenzi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Japhet Justine (kushoto) akizungumza wakati wa kutia saini makubaliano hayo.

TADB,NIRC kuboresha miundombinu ya umwagiliaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In