• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kufaulu darasani ni Kufaulu maisha?

Patricia Richard by Patricia Richard
May 22, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Swali hili limekuwa likiulizwa kwa muda mrefu huku wengine wakikubali kuwa ukifaulu darasani basi umefaulu maisha kwa ujumla na wengine wakiamini kuwa hakuna uhusiano kati ya vitu hivyo viwili kwani wapo watu ambao wana maisha mazuri tu japokuwa hawakufanya vizuri darasani.

Ni kweli kuwa kuna waliotumia ubunifu, vipaji na ujuzi wao kujenga maisha mazuri lakini haimaanishi kuwa elimu haina umuhimu. Mchango wa elimu upo pale pale, hivyo kama umepata nafasi ya kusoma ni bora kuitumia vizuri ukajiongezea maarifa kisha ukatumia ubunifu na ujuzi wako binafsi kujiweka katika nafasi nzuri zaidi. Unaweza kujiuliza kwa soko la ajira lilivyo hapa nchini, mtu asiye na vyeti vya kudhibitisha elimu aliyonayo anaingiza kipato sawa na yule aliyesoma na kumaliza? Ukiwa unaomba kazi vipaumbele vipo vipi? Utakubali kuingiza kidogo kuliko yule mwenye elimu zaidi?

Kwa mazingira yetu hapa nchini ni kwamba, kufaulu darasani kunasaidia kwa kiasi fulani. Ni kweli kuwa nafasi nyingi za ajira zinaangalia ujuzi na ubunifu alionao muombaji kazi lakini hiyo haimaanishi kuwa kiwango chake cha elimu na ufaulu hakina thamani. Vijana wengi wamekuwa wakikosa watu sahihi wakuwapa ushauri hivyo wengine wamekuwa wakijikuta wakiachana na masomo na kujikita katika miradi mingine ili kujiingizia kipato lakini hata hivyo wasifanikiwe.

ADVERTISEMENT

Wapo wengine ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna ulazima wa kutumia gharama nyingi na muda mrefu darasani kama moja ya changamoto kubwa ambayo wahitimu wanakutana nayo wakiingia rasmi katika ulimwengu wa ajira ni kuwa mjuzi wa kazi hiyo kwa miaka kadhaa. Ni taasisi chache zana zinakubali kuajiri vijana waliotoka chuo moja kwa moja. Sasa kundi hili la watu wanapata wapi ujuzi? Hapa ndio wengine wanaona kabisa hakuna maada ya kuwekeza sana katika elimu kama bado utahangaika kusaka ajira.

Hapa ndipo tunapoweza kusema kuwa mfumo wetu wa elimu unafeli. Kwanini wanafunzi wasipatiwe ujuzi na kufundishwa na kuangalia uhalisia wa kile wanachosomea badala ya kusoma tu vitabu kila siku? Kwanini programu zisiwekwe vyuoni kuwatayarisha na maisha halisi baada ya kuhitimu? Masomo pekee hayatoshi. Inabidi kuwe na utaratibu ambao utawaruhusu wanafunzi na vijana kwa ujumla kuwa na elimu, ujuzi, kutumia ubunifu wao na kuwa na utayari wa kutumia yote hayo kwa pamoja kufaulu maisha.

Hii haimaanishi kuwa wale ambao hawakusoma hadi ngazi za juu kabisa walikosea, hapana. Tujifunze pia kutoka kwako. Watu hawa wana uzoefu wa muda mrefu ndio maana wana mafanikio hivyo tunapaswa kujifunza kutoka kwao pia. Hakuna ambae hataki kufanikiwa katika maisha yake, kinachotakiwa ni kutumia nafasi uliyonayo na kujifunza zaidi kutoka waliofanikiwa. Ni vizuri kuomba ushauri pale unapohitaji, kufanya utafiti kabla ya kufanya maamuzi na kuwashirikisha wengine kwani mawazo ya mtu mmoja pekee hayatoshi.

Tags: ajiraelimuubunifu
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Usitegemee cha ndugu, utakufa maskini

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In