• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kilimo cha migomba kufanyiwa utafiti

Patricia Richard by Patricia Richard
July 27, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya  Ileje Joseph Mkude na timu ya wataalamu wa masuala ya kilimo mkoani Songwe kutembelea mashamba ya migomba na kufanya utafiti kuhusu mbegu bora ya migomba inayofaa kulimwa katika eneo hilo. Mama Samia amesema hayo baada ya kutembelea kijiji cha Sange na kujionea shughuli mbalimbali za kilimo wilayani hapo.

Makamu huyo amewataka wataalamu kufanya utafiti ili kupata aina nzuri ya mbegu itakayowasaidia wakulima wa eneo hilo kuondokana na kilimo cha migomba ya asili ambayo haina tija kwa uzalishaji na badala yake waanzishe kilimo cha migomba ya kisasa kitakachowasaidia kujiingizia kipato.

ADVERTISEMENT

Aidha Mama Suluhu amesema utafiti huo unapaswa kujikita katika kuangalia aina ya mbegu za migomba inayolimwa, matatizo yake sambamba na kutafuta suluhisho ili kukuza uzalishaji katika zao hilo.

“Nimepita kote nimeona mnalima mazao mbalimbali lakini migomba ndio zaidi ambayo imezaa ndizi ndogo ndogo. Ninamtaka Mkuu wa wilaya pamoja na timu yake msaidie wakulima hawa waondokane na kilimo hiki”. Amesema Mama Suluhu.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ileje amesema wameshaanza kutekeleza agizo hilo la kuhakikuisha wataalamu wa kilimo wana watembelea wakulima na kuwapa mbinu bora za uzalishaji wa kilimo cha migomba.

Tags: kilimoMigombaSamia Suluhu Hassanuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wachimbaji wadogo wadogo wa eneo la Msege kijiji cha Msege wilayani Tarime mkoani Mara wakiwa wanasafisha dhahabu bila kuvaa mipira (gloves) mikono wakati wanatumia kemikali ya Zebaki katia kusafisha madini yao, huku wakitambua kuwa kemikali hiyo  ni hatari kwa afya zao. Picha na Florence Focus

Tamida yatoa neno kwa serikali

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In