• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kilimo cha zao la mkonge kuokoa bilioni 577

Tukifufua mkonge hatutaagiza vifungashio nje ya nchi: Majaliwa

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 21, 2021
in KILIMO, KILIMO BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Tanzania itaokoa Sh. bilioni 577 zinazotumika kuagiza vifungashio nje ya nchi kila mwaka kwa kufufua zao la mkonge.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeingiza zao hilo katika orodha ya mazao nyeti ya kimkakati.

Amesema hadi sasa Tanzania ni mzalishali wa pili duniani wa mkonge ikitanguliwa na Brazil Ambato inazalisha tani 150,000 kwa mwaka.

Akizungumza katika kikao cha wadau wa zao hilo na kushirikisha wafanyabiashara, wakulima na viongozi kutoka mikoa mitano inayolima mkonge, Majaliwa alisema mpaka kufikia mwaka 2025, Tanzania inatarajia kuzalisha tani 120,000 kwa mwaka.

Majaliwa alisema Tanzania inatumia Dola za Marekani milioni 245 hadi 250 sawa na bilioni 577.277 kwa ajili ya kuagiza vifungashio kutoka nje ya nchi kila mwaka.

Alisema zao hilo ni miongoni mwa mazao ya biashara nchini ambayo mikakati yake ikitekelezwa vizuri, itawezesha serikali kupata fedha za kigeni na kukuza kipato cha mwananchi mmoja mmoja.

Waziri Mkuu alisema serikali imeongeza zao la mkonge na mchikichi katika idadi ya mazao mkakati ambayo ni pamba, korosho, chai, tumbaku na kahawa.

“Kilimo cha mkonge na mchikichi kinatuondolea mzigo mkubwa na kupunguza gharama, mfano baada ya kuhamasisha kulima mchikichi, tunaokoa zaidi ya dola za Marekani milioni 470 kuagiza mafuta nje ya nchi,” alisema.

Aliziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha wanazalisha vitalu vya miche ya mkonge na kuwapatia wakulima.

Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe alisema wizara imeandaa utaratibu wa hati dhamana utakaowezesha wakulima wadogo kuchukua mkopo kwenye taasisi za fedha kwa riba ya asilimia mbili.

Akiongelea suala la mbegu alisema “kupitia taasisis zetu za utafiti ikiwemo ASA, TARI na TOSCI kumekuwa na uzalishaji wa mbegu ili kuongeza ubora wa miche na ubora wa zao la mkonge”.

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mkonge Saadi Kambona alisema kwa sasa mkulima mdogo ndie anayeongoza uzalishaji kwa kuzalisha tani 9,728 kupitia mashamba ya bodi.

ADVERTISEMENT

Aliwataja wazalishaji wengine kuwa ni Amboni anayezalisha tani 8,277 na Mohamed Enterprises anayezalisha tani 4,922.

Mikoa inayolima mkonge ni pamoja na Pwani, Morogoro, Tanga, Kilimanjaro, Shinyanga na Mara.

Tags: KataniKilimo BiasharamkongeTanzania
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Huduma za bidhaa mtandaoni, biashara inayokua kwa kasi

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In