• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Korosho inaweza kununulika kwa bei ya serikali-TPSF

“Tunampongeza Rais Magufuli kwa kusimamia kuhakikisha wakulima wanauza korosho bei inayowapa faida.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 13, 2018
in KILIMO
0
Korosho ni mapatano-Manyanya
Share on FacebookShare on Twitter

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Salum Shamte amesema kwa mujibu wa hesabu zilizofanywa na taasisi hiyo, korosho inaweza kununuliwa kwa bei iliyoelekezwa na serikali japokuwa faida wanayopata wafanyabiashara itaathirika kwa kiasi fulani. Shamte amesema hayo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari na kueleza kuwa, ikilinganishwa na msimu wa mwaka 2017/2018, bei ya korosho katika soko la kimataifa imeshuka kwa asilimia zaidi ya 40.

 

“Tunampongeza Rais Magufuli kwa kusimamia kuhakikisha wakulima wanauza korosho bei inayowapa faida. Wanachama wetu wanasema inanunulika lakini faida inapungua sana kwa bei elekezi lakini sasa inapotokea jambo kama hili athari inabidi ziwe za pande mbili sio hasara kwa mkulima tu”. Amesema Mwenyekiti huyo.

ADVERTISEMENT

 

Aidha, taasisi hiyo imeshauri kutumika kwa kituo cha Naliendele kufanya utafiti na kufahamu gharama halisi za uzalishaji wa zao hilo kwa msimu husika ili kurahisisha kupanga bei inayotoa faida kwa pande zote mbili. Mbali na hayo TPSF imesisitiza umuhimu wa serikali kufanya kazi kwa pamoja na sekta binafsi ili kufufua viwanda au kuzalisha vipya na vya kisasa ili kuacha kuuza ghafi kwani zao hilo linaweza kuzalisha bidhaa mbalimbali.

Tags: koroshoSekta binafsiTPSFviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mambo 10 usiyoyajua kuhusu fedha

Urejeshaji mikopo bado changamoto

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In