• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wadau zao la muhogo watakiwa kuongeza nguvu kwenye uchakataji

Ni katika kuchakata zao hilo ili kufikia soko la Afrika Mashariki na Kati

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
November 28, 2022
in KILIMO
0
Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Latifa Khamis.

Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Latifa Khamis.

Share on FacebookShare on Twitter

Wadau wa zao la muhugo nchini wametakiwa kushikamana na kuongeza nguvu katika uwekezaji wa viwanda na mashine za uchakataji wa zao la muhogo.

Hiyo itawawezesha kulifikia soko la Ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa Tanzania ina nafasi ya kuzalisha bidhaa za muhogo na kuuza katika soko lenye watumiaji zaidi ya milioni 472.5.

ADVERTISEMENT

Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Latifa Khamis ameeleza wakati akifungua kongamano la biashara la wadau wa muhogo Tanzania lilofanyika sambamba na mkutano mkuu wa tatu wa Wazalishaji na Wasindikaji wa Muhogo Tanzania (TACAPPA) unaofanyika kwenye Uwanja wa Maonesho wa Mwl. J. K Nyerere jijini Dar es Salaam.
Amesema takwimu za sasa zinaonyesha kuwa kati ya mwaka 2017 na 2021 wastani wa kiasi cha tani 49,555 za bidhaa za muhogo zenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 9.19 ziliuzwa katika soko la kikanda la Afrika Mashariki.

Hata hivyo amesema Tanzania imeingiza bidhaa za muhogo hususani wanga na unga ambapo mwaka 2021 iliingiza takribani tani 17.68 zenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 4.72 sawa na Shilingi bilioni 10.88.
“Uzalishaji wa zao hili unaendelea kuimarika, hivyo tunaweza kupunguza kuagiza kiasi hicho cha wanga na endapo tutaongeza uchakataji wa mazao ya muhogo hapa nchini badala ya kuagiza kutoka nchi za India, China, Pakistani na Uturuki,” amesema.
Ameitaja Congo kuwa nchi yenye fursa kubwa ikiwa na watu milioni 95 ambapo asilimia 70 ya wakazi wake wanatumia bidhaa za muhogo kwa ajili ya chakula ambazo huzipata ndani ya nchi na nyingine kutoka nchi jirani ikiwemo Tanzania.

“Fursa ya soko ipo kwa Ukanda wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati ambapo nchi za Burundi, Rwanda, Kenya na Uganda ni wanunuzi wakuu wa bidhaa za muhogo kutoka Tanzania,” ameeleza Khamis.

Kongamano hilo lina kauli mbiu inayosema ‘Ongeza tija, panua fursa za masoko muhogo unalipa’.

Tags: biasharakilomoMUHOGOTanzania
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Tanzania, Uingereza kufanya kongamano la biashara

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In