• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, June 27, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Waziri awapa uhakika wawekezaji wa ndani

Serikali kununua viuatilifu vya ndani ya nchi

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
April 27, 2021
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa kilimo Prof Adolf Mkenda amewahakikishia wawekezaji wa ndani wa viwanda vya kuzalisha viuatilifu vya mazao na mifugo kuwa serikali haitanunua biadhaa hizo nje ya nchi na badala yake watanunua vya ndani.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kuzalisha viuatilifu cha kampuni ya kimataifa ya usambazaji pembejeo nchini cha Bajuta kilichopo mkoani Arusha, Prof Mkenda amesema serikali italinda viwanda vya ndani vya bidhaa hizo kwa maslahi ya wawekezaji na wajasiriamali wa ndani.

Alisema serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi kuagiza viuatilifu vya mazao na mifugo na kwamba iwapo wawekezaji wa ndani watazalisha bidhaa hizo kwa ubora unaotakiwa serikali haitasita kuvinunua.

“Serikali imekuwa ikitumia viuatilifu kwa ajili ya mazao kama korosho, pamba, kahawa na mazao mengine na fedha zinazotumika ni za wakulima na mbaya fedha hizo zinaenda nje ya nchini” alisema.

Waziri Mkenda alisema iwapo wawekezaji hao wataamua kuanza kuzalisha pembejeo za Kilimo na mifugo itaokoa fedha nyingi zinazoenda nje ya nchi na itapunguza gharama kwa wakulima.

ADVERTISEMENT

“Naagiza taasisi zinazodhibiti ubora na taasisi nyingine kuchunguza ubora wa viuatilifu vinavyozalishwa hapa na kama vina ubora serikali haitoagiza nje kabla hatujamaliza vya ndani na tunaamini tukifanya hivyo pato la nchi litakuwa na kuboresha maisha ya watanzania ikiwemo wakulima.”

Akizungumzia ujenzi wa Kiwanda hicho, alisema uwekezaji huo utaleta tija na kusaidia huduma za viuatilifu kwa wananchi na kwamba hatua hiyo inaunga mkono jitihada za serikali za kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.

Mkurugenzi wa kampuni hiyo Gesso Bajuta amesema kiwanda hicho kinatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu na kwamba kitazalisha zaidi ya lita milioni 4.5 kwa mwaka.

Tags: biasharakilimoTanzaniaviwanda
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Vikundi 37 jijini Tanga vyapokea milioni 300

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In