• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dk. Kalemani asisitiza wananchi kuchangamkia umeme

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa ya umeme hasa katika maeneo ya vijijini

Patricia Richard by Patricia Richard
October 29, 2018
in NISHATI, Uncategorized
0
Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani akizindua umeme wa REA katika kijiji cha Kikumbaitale wilayani Chato. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Chato, Msafiri Simion.

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani akizindua umeme wa REA katika kijiji cha Kikumbaitale wilayani Chato. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Chato, Msafiri Simion.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa ya umeme hasa katika maeneo ya vijijini ambapo gharama ya kuunganisha na kuweka umeme ni Sh. 27,000 katika vijiji vyote ambavyo vimepitiwa na mradi wa REA. Waziri Kalemani ametoa ushauri huo wakati akizindua umeme katika kijiji cha Kikumbaitale wilayani Chato ambapo ameeleza kuwa, serikali imejipanga kuipeleka nchi katika uchumi wa kati kupitia sekta ya viwanda, ambapo amewataka wananchi wa Chato kuanzisha mashine za kukoboa na kusaga pamoja na kufanya biashara mbalimbali ikiwemo biashara za saluni kwani uwepo wa umeme huo ni fursa kubwa kwa wananchi kufungua miradi mbalimbali itakayowasaidia kuingiza kipato.

“Lakini pia niwaaambie fungueni na saluni kwani umeme huu muutumie kujiongezea kipato ambacho kitakuwa chachu ya kujiletea maendeleo katika eneo lenu”. Amesema Dk. Kalemani.

ADVERTISEMENT

Aidha, Waziri huyo amewapongeza viongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kazi nzuri wanazofanya kwa kushirikiana na Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini (REA) huku akisisitiza kuwa wataendelea kufanya kazi kwa bidii na kutembelea vijiji mbalimbali hapa nchini ili kukagua maendeleo ya mradi na kuhakikisha maeneo yaliyo ndani ya mradi yanapata umeme kwa wakati.

Tags: biasharaChatoDk. Medard KalemaniREATANESCOumemeviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli.

JPM bega kwa bega na wakulima wa korosho

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In