• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Upanuzi bandari ya Mtwara kupunguza gharama za usafirishaji

Upanuzi wa bandari ya Mtwara kwa kiasi kikubwa utasaidia kupunguza gharama za usafirishaji wa mafuta na kusaidia malighafi hiyo kushuka moja kwa moja mkoani Mtwara tofauti na hali ilivyo hivi sasa ambapo ni lazima yashushwe jijini Dar es salaam kisha kusafirishwa tena hadi mkoani humo.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 2, 2018
in MIUNDOMBINU, Uncategorized
0
JPM ahoji Mbeya kukosa stendi

Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amesema upanuzi wa bandari ya Mtwara kwa kiasi kikubwa utasaidia kupunguza gharama za usafirishaji wa mafuta na kusaidia malighafi hiyo kushuka moja kwa moja mkoani Mtwara tofauti na hali ilivyo hivi sasa ambapo ni lazima yashushwe jijini Dar es salaam kisha kusafirishwa tena hadi mkoani humo. Rais Magufuli amesema hayo wakati akizungumza na washiriki wa kongamano la kujadili hali ya siasa na uchumi wa nchi lililofanyika Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) ambapo ameeleza kuwa, bandari ya Mtwara itakuwa kituo cha biashara kwa mikoa ya kusini pamoja na nchi za jirani.

“Hatuwezi kusafirisha mafuta kutoka Dar es Salaam hadi Mtwara karibu kilometa 540 wakati tunaweza kushushia huko huko na tukayasambaza lakini pia tumeamua kuipanua bandari ya Tanga nayo lazima tuipanue kwa sababu kuna kiwanda kinajengwa cha kuzalisha saruji ambayo itauzwa ndani na nje ya nchi. Tumeamua kuunganisha nchi jirani za Rwanda na Burundi kwa reli ya kisasa ya ili wanapotumia bandari ya Dar kwa ajili ya kusafirisha bidhaa wapate urahisi na  hii itaiongezea nchi yetu pato kwa kukusanya kodi. Huwezi kuongelea kukua kwa uchumi kama hauna umeme wa uhakika na wa bei nafuu tukasema lazima tuwe na umeme wetu na ndiyo maana tukaanza na mradi wa SGR kwa sababu ni umeme wa maji na utakapoanza bei  ya umeme itashuka”. Ameeleza kwa undani Rais Magufuli.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, Rais Magufuli amezungumzia ndege binafsi ya DreamLiner na kusema uwepo wa ndege hiyo utasaidia kukuza sekta ya utalii kwani watalii kutoka mataifa mbalimbali sasa watapata nafasi ya kuja nchini.

“Watalii walikuwa hawaji nchini kwetu kwa sababu hatukuwa na ndege yetu binafsi, huwezi kutumia shirika la ndege la jirani ili kuleta watalii nchini kwako ndiyo maana sisi tukaamua kununua ndege zetu wenyewe na kufufua shirika letu la ndege na lengo kubwa ni kuinua sekta ya utalii”. Amesema Rais Magufuli.

 

Tags: bandaridreamlinerMagufulimapatoSGRUDSMumemeutalii
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kampuni yajikita kuleta mageuzi kilimo cha chai

Mgogoro kati ya kiwanda na wakulima wapata suluhu

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In